MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Katika kutokujua nini haswa kilichowapeleka chuoni,baadhi ya wanachuo wa UD wanaonekana kupenda ngono na starehe sana kuliko masomo,na wale wasiojisomea wanafurahi sana wanaposhinda mtihani bila hata yakujua majukumu yao mbenleni ni nini.Januari kuna jamaa aliamua kuacha chuo wakati wa mitihani na kuhamia kwa jimama na sasa inasemekana yupo Mwanza anakula maisha kwa jimama.Inasikitisha kwani dogo alikua bright sana na ndugu zake kwa sasa wanahaha kumtafuta aliko.Hata kwenye simu hapatikani tena.hii shida kweli. saadieni ndugu zake ili waweze kumpata huyu dogo kwa mumfahuo