samahan sirudii tena..bt jee the whole lines ni non sense?
Kipo Mwanza sehemu moja inaitwa Nyegez.
mkuu,ndio maana hili likaitwa jukwaa la jokes na udaku so chukulia poa 2.Kweli Senator ni mtata. Yaani hata huku kwenye Udaku unaendeleza misuli na libeneke ya kutokijua SAUT?
na sio univesty ni universityAlikuwa na maana ya SAUT sio SAUTI bila shaka alikosea spellings.
Vijana acheni kuchakachua maneno ili kupata rhymes. Thio nyegez, ni nyegezi.Ahhh Kumbe ndio maana, mimi nilidhani kipo Kunduz Afghanistan
Kaeni vizuri tu ukikaa vby waweza angukaebu usituharibie jina la chuo wewe , na kwa raha zetu, tutawavala vimini na kukaa vby mpk waturudishie suruali ze2
rosie nitake radhi... mie nimesoma huko kigonsera.....
mkuu vipi? bado unafundisha pale pugu?Kama ni SAUT huwa wakati mwengine uongozi unaibua visheria vya ajabu ajabu. Nakumbuka enzi zetu kaptula au pensi kwa wavulana ama wanaume ziliwahi kupigwa marufuku kwenye lekcha!
pole mrembo, usijali mawivu yao tu ndio yana wasumbuaebu usituharibie jina la chuo wewe , na kwa raha zetu, tutawavala vimini na kukaa vby mpk waturudishie suruali ze2
Na siyo nyegezi ni Nyegezi!Vijana acheni kuchakachua maneno ili kupata rhymes. Thio nyegez, ni nyegezi.