sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,283
- 976
Sina imani sana na Mabere Marando.. Naona kama yupo kifedha zaidi.. CDM yetu kupitia Dr. Slaa ndo iliibua hoja ya ufisadi wa BOT kupitia EPA na kumtaja Manji km muhusika kupitia KAGODA.. Sasa leo kwnye habari ya Saa 2 usiku ITV Mabere ametajwa kama mtetezi wa Manji katika kesi ambayo inarandana na masuala ya EPA.. Ambayo Manji ameifungua dhidi ya Reginald Mengi kumuita Fisadi PAPA kwa kuhusika na EPA.. Ndg wana CDM nisaidieni kunielewesha ktk hili, labda mi ndo nna mtazamo tofauti..
Naomba ufafanuz wakuu wangu!
Naomba ufafanuz wakuu wangu!