Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Kesho jumamosi tutakua na mkutano Jangwani, mh.Nnape Nnauye na viongozi wengne wengi watakuwepo kuanzia saa sita mchana, chama tawala kitatoa msimamo wake kuhusu mchakato wa katiba mpya, msikose ni muhimu sana.
Kwanini unamuita NAPE MUHESHIMIWA.
Mr.oil chafu
Mr.Kinyago
Nani wakumuita huyu jamaa muheshimiwa?
Anatakiwa aitwe mdharauliwa Nape.