Wanachama wa chadema kati yao wakiwemo wenyeviti na makatibu 918 wa vitongoji 6 wilayani Meatu, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na ccm, wengi wanasema wamechoshwa na siasa za kikabila za cdm na kuamua kurejea ccm kusipo na ukabila wala udini.
Source:katibu wa ccm wilaya bW. Abdilah Finangu.
Hivi huku kuhamahama maana yake nini wandugu?
Wanachama wa chadema kati yao wakiwemo wenyeviti na makatibu 918 wa vitongoji 6 wilayani Meatu, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na ccm, wengi wanasema wamechoshwa na siasa za kikabila za cdm na kuamua kurejea ccm kusipo na ukabila wala udini.
Source:katibu wa ccm wilaya bW. Abdilah Finangu.
Hivi huku kuhamahama maana yake nini wandugu?
Wanachama wa chadema kati yao wakiwemo wenyeviti na makatibu 918 wa vitongoji 6 wilayani Meatu, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na ccm, wengi wanasema wamechoshwa na siasa za kikabila za cdm na kuamua kurejea ccm kusipo na ukabila wala udini.
Source:katibu wa ccm wilaya bW. Abdilah Finangu.
Hivi huku kuhamahama maana yake nini wandugu?
Wanachama wa chadema kati yao wakiwemo wenyeviti na makatibu 918 wa vitongoji 6 wilayani Meatu? Uko serious mkuu kuwa huko Meatu viongozi wa kata 6 wapo 918?
Hata ukituambia wewe ni Salma hatushangaiWanachama wa chadema kati yao wakiwemo wenyeviti na makatibu 918 wa vitongoji 6 wilayani Meatu, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na ccm, wengi wanasema wamechoshwa na siasa za kikabila za cdm na kuamua kurejea ccm kusipo na ukabila wala udini.
Source:katibu wa ccm wilaya bW. Abdilah Finangu.
Hivi huku kuhamahama maana yake nini wandugu?
Wanachama wa chadema kati yao wakiwemo wenyeviti na makatibu 918 wa vitongoji 6 wilayani Meatu, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na ccm, wengi wanasema wamechoshwa na siasa za kikabila za cdm na kuamua kurejea ccm kusipo na ukabila wala udini.
Source:katibu wa ccm wilaya bW. Abdilah Finangu.
Hivi huku kuhamahama maana yake nini wandugu?
saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kabsaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!! ni m4cWanachama1938 wakiwa na wenyeviti wao watano wa vitongoji katika Wilaya ya Ngorongoro Kataya Enduleni wamekihama Chama cha Mapinduzi (CCM) Jioni hii na kuhamia Chadema. Kwamujibu wa katibu wa Chadema Mkoa wa Arusha Amani Golugwa, Wenyeviti haowalipiga simu asubuhi ya leo na kutoa taarifa za kuhama CCM. Chadema ilituma KikosiKazi ili kuthibitisha habari hizo na tayari imethibitishwa wanachama hao kuhamaCCM na Kuhamia CHADEMA kama inavyoainishwa hapa chini; 1. Saitabau Tereto - Mwenyekiti waCCM Kitongoji cha Esirwai, Amerudisha Kadi yake na kuhamia Chadema, Wanachama wengine 478 waCCM katika Kitongoji hiki wamerudisha KADI zao na kuhamia Chadema. 2. Kone Kema - Mwenyekiti wa CCM Kitongojicha Ndiyani, AmerudishaKkadi na Kuhamia Chadema, WanachamaWengine 590 (CCM) katika kitongoji hiki wamerudisha Kadi na kuhamia Chadema 3. Marko Mbene Mwenyekiti wa CCM Kitongojicha Ngoyapase, Amerudisha Kadi na kuhamia Chadema, Wanachama wengine 320 katika Kitongoji hiki wamerudishaKadi na kuhamia CHADEMA 4. Saruni Meng'arana Mwenyekiti wa CCM Kitongojicha Embarware Amerudisha kadi na Kuhamia Chadema, Wanachama wengine 224 katika Kitongoji hikiwamerudisha Kadi zao za CCM na kuhamia CHADEMA 5. RobertEdward Mwenyekiti wa CCM Kitongoji cha Madukani Amerudisha Kadi na kuhamia Chadema, Wanachama wengine 326 wa CCM katikakitongoji hiki wamerudisha Kadi na kuhamia CHADEMA Arusha Mambo itakatisha matangazo yake toka Bungeni Dodoma na kuwaletea mahojiano ya moja kwa moja toka kwa Viongozi wa Chadema waliko eneo la tukio
haswaaaaaaaaaaaaa mkuu na hata mimi naifahamu metu zaidi ya huyu magamba.kama vip ni pm tujuane mkuu.thanks wana jfTakwimu hizo sio sahihi, CDM haina idadi hiyo ya viongozi hapo Meatu
Wanachama wa chadema kati yao wakiwemo wenyeviti na makatibu 918 wa vitongoji 6 wilayani Meatu, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na ccm, wengi wanasema wamechoshwa na siasa za kikabila za cdm na kuamua kurejea ccm kusipo na ukabila wala udini.
Source:katibu wa ccm wilaya bW. Abdilah Finangu.
Hivi huku kuhamahama maana yake nini wandugu?