Jakubumba
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 1,624
- 500
sahihi sabini kukusanywa kuanzia kesho ili kuwasilisha hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu
naona kama vile mapinduzi yananukia! Mie sina imani nae kabisa sio siri!
sahihi sabini kukusanywa kuanzia kesho ili kuwasilisha hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu
Sikiliza yaliyojiri Ngorongoro leo
Sikiliza yaliyojiri Ngorongoro leo
.............Wote hao walikuwa mizigo isiyobebeka......
Wanachama wa ccm wakiwemo wenyeviti wa vitongoji vitano wilayani ngorongoro, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na chadema,na tayari wamebwaga kadi zao za ccm katika ofisi za chadema zilizopo wilayani humo na kukabidhiwa za chadema.
Tarifa hiyo imetolewa na katibu wa CHADEMA mkoa wa Arusha Amani Golugwa.
Dah, hizo ni siku 7 tu, je akifunga miezi 3 itakuaje? Si mpaka Nape atarudisha kadi..