fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Ndani ya rasilimali nyingi umaskini umeshamili. JIBU NI UONGOZI MBAYA wala sio UCHAWI.
Kwa kuangalia jinsi WanaCCM wanavyokimbia CCM na kujiunga na UPINZANI ni wazi kuwa sasa wanachama hawa wamechoka na CCM na wanafikiria kuhusu serikali mbadala.
Bei ya Pamba, Kahawa, Korosho, Alizeti, Ufuta ziko Chini; Mkulima bado unahamu na CCM
Mfumko wa bei kwa bidhaa zote, hasa consumables
Ada za shule kwa maana ya shule ziko juu
Huduma ya afya hakuna, Dkt wanapigwa na wezi, wahuni au kitu cha kufanana na hicho
Mishahara duni, kodi kubwa; Mfanyakazi bado unahamu na CCM?
Mbali zaidi hata utamaduni wetu hakuna tena
Kwa upande mwingine dhahabu, sangara, pamba, mifugo kibao, kahawa, korosho, tanzanite, almasi, mafuta, makaa ya mawe, gesi, mbuga za wanyama, kilimanjaro mlima etc hakuna hata kitu kimoja kinatusadia. Deni la taifa linakuwa kama kwamba hatufanyi kazi kabisa, EPA na wengine wanatufaidi.
NI wazi kuwa hata MwanaCCM wa damu mwenye akili timamu anaomba CCM inanguke ili waliowengi wafaidi matunda ya kuzaliwa nchi ya mito na asali.
Suala hapa kwa WanaCCM ni namna gani bila ya kuonekana hadharani watawawezesha wapinzani kuchukua nchi, kitu cha kibinadamu hapa ni kushindwa kusema sasa baba ufe tumechoka kukuuguza, maana tumekuuguza miaka 50 lakini wapi. TUWASAIDIE WANACCM WATUSAIDIE KUMALIZA MATANGA SALAMA.
Kila mtu once alikuwa mshabiki wa CCM, je bado hujachoka???
Kwa kuangalia jinsi WanaCCM wanavyokimbia CCM na kujiunga na UPINZANI ni wazi kuwa sasa wanachama hawa wamechoka na CCM na wanafikiria kuhusu serikali mbadala.
Bei ya Pamba, Kahawa, Korosho, Alizeti, Ufuta ziko Chini; Mkulima bado unahamu na CCM
Mfumko wa bei kwa bidhaa zote, hasa consumables
Ada za shule kwa maana ya shule ziko juu
Huduma ya afya hakuna, Dkt wanapigwa na wezi, wahuni au kitu cha kufanana na hicho
Mishahara duni, kodi kubwa; Mfanyakazi bado unahamu na CCM?
Mbali zaidi hata utamaduni wetu hakuna tena
Kwa upande mwingine dhahabu, sangara, pamba, mifugo kibao, kahawa, korosho, tanzanite, almasi, mafuta, makaa ya mawe, gesi, mbuga za wanyama, kilimanjaro mlima etc hakuna hata kitu kimoja kinatusadia. Deni la taifa linakuwa kama kwamba hatufanyi kazi kabisa, EPA na wengine wanatufaidi.
NI wazi kuwa hata MwanaCCM wa damu mwenye akili timamu anaomba CCM inanguke ili waliowengi wafaidi matunda ya kuzaliwa nchi ya mito na asali.
Suala hapa kwa WanaCCM ni namna gani bila ya kuonekana hadharani watawawezesha wapinzani kuchukua nchi, kitu cha kibinadamu hapa ni kushindwa kusema sasa baba ufe tumechoka kukuuguza, maana tumekuuguza miaka 50 lakini wapi. TUWASAIDIE WANACCM WATUSAIDIE KUMALIZA MATANGA SALAMA.
Kila mtu once alikuwa mshabiki wa CCM, je bado hujachoka???