Wanabidii, ni google group ambayo inaongoza kwa kuwa na wanachama wengi makini na wasomi, na mijadala inayo endelea kule ni makini kwa mtu ambaye amezoea midhaa ya JF kule hawezi kuwepo maana hatatoka kapa au kujiona hana pwaya kuwa kule...
Naskia ni hackers walikubuhu, kuweni makini.
Si unajua watu wanacheza na IT kutapeli wenzao.