- Thread starter
- #21
Mipango imekamilika, sasa wanaenda kulala ila kuna tarifa nilizozpata hivi punde tu kua kuna wanafunzi wengine wamekua wakianguka na kuzimia kwa njaa, hii ni kwa mujibu wa wanafunz hapa mabibo hostel. Jaman sijui tunaelekea wapi nchi hii!