SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Baada ya jana wana Udom kupinga utaratibu wa watu kujifungia ndani na kuchangia mswada uku ukiacha mamia ya watu wakiwa nje hawajui la kufanya leo asubuhi wanachuo wengine wakiondoka mida ya saa kumi na mbili asubuhi kwa mabasi kuelekea mjini ktk ukumbi wa bunge wa zamani uku wengine wakijiandaa kwenda mida ya saa tatu mara habari ikaja chuo kuwa itafanyika chimwaga ila mpaka mda huu wa saa tano asubuhi hakuna dalili yoyote ya kufanyika.
MY TAKE;
Walichofanya serikali sio sahihi kwani kwa kuwahadaha watu kwa dhumuni la kufanya mambo yao uko ukumbi wa bunge ila naamini watafanya kila jambo ila hawataweza kuzuia mawazo ya watu wenye uzalendo wa nchi yao kwani baada ya Udom kuonesha wazi hawako upande wa serikali wakaamua kuwadanganya utafanyika ukumbi wa chimwaga uku fika sio kweli.
MY TAKE;
Walichofanya serikali sio sahihi kwani kwa kuwahadaha watu kwa dhumuni la kufanya mambo yao uko ukumbi wa bunge ila naamini watafanya kila jambo ila hawataweza kuzuia mawazo ya watu wenye uzalendo wa nchi yao kwani baada ya Udom kuonesha wazi hawako upande wa serikali wakaamua kuwadanganya utafanyika ukumbi wa chimwaga uku fika sio kweli.