Wana TOT na Semi la CCM Arumeru,Wakirudi Dar wapatiwe huduma ya Psychotherapy

yplus

Senior Member
Mar 20, 2012
153
69
Hawa jamaa nawaoneoa huruma sana,toka wamekuja Arumeru wamekuwa ni watu wa kuzomewa toka asubuhi hadi jioni wanapokuwa wanaelekea kwenye kampeni...
Tukio lililo nishangaza sana ni siku ya jana walipokuwa wanafanya kampeni pale Tengeru.Wakiwa uwanjani,kundi kubwa la watu lilikuwa upande wa pili likiwasubiri wamalize mkutano,magari yalipoanza tu kuondoka,walianza kuzomewa gari moja hadi lingine na kuonyeshewa alama ya V inayotumiwa na CDM.
Hofu yangu mimi wata athirika sana kisaikolojia.Kuzomewa mwezi mzima asubuhi mpaka jioni ina athari kubwa sana,huduma ya Psychotherapy itahitajika mara moja watakapo rejea DSM.
Nawasilisha...
 
Hawa jamaa nawaoneoa huruma sana,toka wamekuja Arumeru wamekuwa ni watu wa kuzomewa toka asubuhi hadi jioni wanapokuwa wanaelekea kwenye kampeni...
Tukio lililo nishangaza sana ni siku ya jana walipokuwa wanafanya kampeni pale Tengeru.Wakiwa uwanjani,kundi kubwa la watu lilikuwa upande wa pili likiwasubiri wamalize mkutano,magari yalipoanza tu kuondoka,walianza kuzomewa gari moja hadi lingine na kuonyeshewa alama ya V inayotumiwa na CDM.
Hofu yangu mimi wata athirika sana kisaikolojia.Kuzomewa mwezi mzima asubuhi mpaka jioni ina athari kubwa sana,huduma ya Psychotherapy itahitajika mara moja watakapo rejea DSM.
Nawasilisha...

wana sisemu ni sugu washaoea kuzomewa, yaani wenyewe wanaona poa kabisa
 
Psychotherapy deals with treating people with psychological problems by using medicine ToT and Ccm deserve such a treatment.
 
Hawa jamaa nawaoneoa huruma sana,toka wamekuja Arumeru wamekuwa ni watu wa kuzomewa toka asubuhi hadi jioni wanapokuwa wanaelekea kwenye kampeni...
Tukio lililo nishangaza sana ni siku ya jana walipokuwa wanafanya kampeni pale Tengeru.Wakiwa uwanjani,kundi kubwa la watu lilikuwa upande wa pili likiwasubiri wamalize mkutano,magari yalipoanza tu kuondoka,walianza kuzomewa gari moja hadi lingine na kuonyeshewa alama ya V inayotumiwa na CDM.
Hofu yangu mimi wata athirika sana kisaikolojia.Kuzomewa mwezi mzima asubuhi mpaka jioni ina athari kubwa sana,huduma ya Psychotherapy itahitajika mara moja watakapo rejea DSM.
Nawasilisha...

Msigano mkubwa Arumeru ni kati ya CCM na CDM na siku zote panapokuwa na pande mbili zinazopingana lazima kutakuwa na kutokuelewana...hivyo kama TOT wanazomewa ni lazima nao wanawazomea CDM kwa hiyo nao wanastahili psychotherapy.
 
Kani kati ya hawa atakaye athirika zomewa?
Watu 10 wanao zomewa na watu 1000 kutwa nzima
au
Watu 10 wanaozomea watu zaidi ya 1000 kutwa nzima?
Kengemumaji penye ukweli,uongo hujitenga,njoo Arumeru uone wanavyo zomewa CCM na Vx zao na V8 zao na Semi lao...

Unajua ni aje,Jamaa wanapita naa magari Full Tinted na speed sio chini ya 80,ukichungilia gari jamaa hawazidi 3. Wanaogopa ogopa kweli?,unajua Vijana wa Meru ni Mtata,eneo kama singisi vijana wa pale ni mtata kama Wasomali vile so CCM wanaishi maisha ya wasiwasi sana...
 
Wana-Arumeru waombeni TOT wawaimbieni zile 'Pambio za CCM' kumsindikiza salama Mwalimu Nyerere na kumkaribisha sebuleni mgeni rasmi UFISADI ndani mwao.

Kisha wakimaliza nyimbo za kifo cha Baba wa Taifa basi mkawaulize kwamba wanafahamu nini juu ya kifo hicho hata wakachagua kujichimbia Zanzibar kuzifanyia mazoezi hizo nyimbo Mwalimu Nyerere angali bado yuko kijijini Butiama mwezi mmoja kabla ya kusafiri kwenda matibabuni Uingereza?
 
Kani kati ya hawa atakaye athirika zomewa?
Watu 10 wanao zomewa na watu 1000 kutwa nzima

au
Watu 10 wanaozomea watu zaidi ya 1000 kutwa nzima?
Kengemumaji penye ukweli,uongo hujitenga,njoo Arumeru uone wanavyo zomewa CCM na Vx zao na V8 zao na Semi lao...

Unajua ni aje,Jamaa wanapita naa magari Full Tinted na speed sio chini ya 80,ukichungilia gari jamaa hawazidi 3. Wanaogopa ogopa kweli?,unajua Vijana wa Meru ni Mtata,eneo kama singisi vijana wa pale ni mtata kama Wasomali vile so CCM wanaishi maisha ya wasiwasi sana...

Maneno haya yatakwisha tu baada ya 1st April 2012.
 
Back
Top Bottom