Hawa jamaa nawaoneoa huruma sana,toka wamekuja Arumeru wamekuwa ni watu wa kuzomewa toka asubuhi hadi jioni wanapokuwa wanaelekea kwenye kampeni...
Tukio lililo nishangaza sana ni siku ya jana walipokuwa wanafanya kampeni pale Tengeru.Wakiwa uwanjani,kundi kubwa la watu lilikuwa upande wa pili likiwasubiri wamalize mkutano,magari yalipoanza tu kuondoka,walianza kuzomewa gari moja hadi lingine na kuonyeshewa alama ya V inayotumiwa na CDM.
Hofu yangu mimi wata athirika sana kisaikolojia.Kuzomewa mwezi mzima asubuhi mpaka jioni ina athari kubwa sana,huduma ya Psychotherapy itahitajika mara moja watakapo rejea DSM.
Nawasilisha...
Tukio lililo nishangaza sana ni siku ya jana walipokuwa wanafanya kampeni pale Tengeru.Wakiwa uwanjani,kundi kubwa la watu lilikuwa upande wa pili likiwasubiri wamalize mkutano,magari yalipoanza tu kuondoka,walianza kuzomewa gari moja hadi lingine na kuonyeshewa alama ya V inayotumiwa na CDM.
Hofu yangu mimi wata athirika sana kisaikolojia.Kuzomewa mwezi mzima asubuhi mpaka jioni ina athari kubwa sana,huduma ya Psychotherapy itahitajika mara moja watakapo rejea DSM.
Nawasilisha...