Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,608
- 5,269
<br />Kwa hiyo ukiwa wewe unapita na wengine hawana uwezo wa kupita? Unanchekesha! huna hoja.
<br />
Lakini unapopasifia utafikiri pako juu sana, unavyosifia mtu anaweza akadhani pako kama uswisi vile kumbe hakuna kitu kama hicho, we jamaa watu wengi Tz walikuwa hawamkubali na hata baadhi ya magamba wengine kama nape walikuwa hawamkubali, lakini wewe unavyomkubali mpaka nashangaa, unanchekesha! Jamaa alikuwa ni kings maker!