hata na mimi hii imenishangaza, nafikiri aliishia darasa la pili: na ndo maana alibabaika kwenye kipindi cha usajili, uelewa wake na shule yake ni ndogo, anaitaji asamehewe bure.huo mwandiko jamaa anajua kusoma na kuandika kweli
Yalishaisha haya...Twitte kaenda jangwani na Simba wanaendelea na mambo yao.
Mpira umejaa uchafu mwingi sana...tukiyazungumza yote hapa, hata uwanja Taifa tutaona kinyaa kwenda kuangalia mechi...hususan za Simba na Yanga.
Lengo la mtoa mada sio kuwakumbusha machungu au matamu.
Ila ni kuwapa onyo wapenzi na wanachama wa Lunyasi a.k.a Taifa Kubwa kuhusu mtu wanayemkumbatia kila uchao kwa jina la mwenyekiti, convict as per Laws of United Republic of Zimbabwe, Pemba and Tanganyika.
Ukweli wacha usemwe, hatuwezi kukaa kimya kwa vile eti kuna uchafu mwingi kwenye soka.
Simba toka wamemchagua Rage...hakuja tokea kasheshe wala songombingo...ila kule kwenye kandambili kila siku kutimuana. Sasa hapo wanachama gani wanatakiwa kuhoji viongozi wao? Uongozi wa Rage umeipa Simba ubingwa wa premier mwaka jana...na hadi dakika hii, Taifa liko kileleni...
Sasa huo ukweli unaosemwa hapo ni upi? Hebu malizaneni na Njoroge kwanza kabla hamja hamishwa kucheza na Tukuyu Stars....
Only two days to go before you get yourselves into big trouble...
Hebu tukumbushane, ni sababu gani iliyosababisha msomali afungwe?