Pia alikuwepo Mwl. Elifuraha, tulizoea kumwita BALBU, sijui atakuwa wapi siku hizi?
Yaah, namkumbuka Gambo, Bulb, Buga, Bogoz (mwanahistory), Igosh, Kekondo, wawa, Msela (Raphael) na mr. Matu (headmaster miaka hiyo ya 90). Naikumbuka chaka na mwabaruhi. Vipi waroko!!
Vipi waroko!!
Da!...Nasikitika kumbe "Kenge" ameshadead!.Naikumbuka ile fimbo yake ya kufuli la baiskeli,siku moja aliadhibu walokole walikuwa wakisali chini ya meza sisi acha tucheke.Igosha siku moja tulikutana Moro yuko na kale katoto kake ka mwisho ka kike,aliniambia ameshastaafu na anaishi maeneo ya Mzumbe na hako katoto kanasoma secretarial VETA 1st year.Malemba yuko Kilosa na Kachecheba nilisikia yupo Kilombero Moro anabiashara.Aisee nikikumbuka siku moja kajenereta kaliibiwa kwenye gradu acha tukimbie tukaambulia patupu.Ndiyo kama tungetumia majina yetu halisi humu jf nadhani kati yetu yupo tulichunga nae ng'ombe,au tulikunywa nae tangawizi busisi road kwa mzee Iddi,au tulipigwa mnyengo pamoja nae kwenye bondo,maana namkumbuka Mwita,Okonkwo,Maganga,Labda Mishamo,Buzinzira hawa jamaa walikuwa noma.Natamani kujua Ndaki ndugu yake Mattu yuko wapi sasa,Masanja secretary alikuwa msabato nae yuko wapi,Bahati Sosthenes na hizi ndume zilitoka Tambaza?Escoba,gamtu,msimbano.Ebwana eeeh!!Nitafurahi zaidi kuendelea kupata habari za wana singapore.