Shoz-nigga.
New Member
- Apr 22, 2012
- 2
- 0
Mchakato wa uchaguzi mkuu chuo cha St. Augustine umeanza ambapo kampeni rasmi zimezinduliwa hapo jana na zinatarajiwa kukamilika j.4 ya wiki ijayo na kupigwa kwa kura siku ya J.5.
Ktk hali ya kushangaza kama si kustaajabisha, Tume ya uchaguzi imekuwa MBOVU, YA KI*PUU*ZI, ISIYOTENDA HAKI, YENYE KUELEMEA UPANDE WA MGOMBEA MMOJA WA URAISI na mambo mengine mengi sana yenye KUCHEFUA, KUUDHI, KUKERA kama si kuwafanya wengine WATAPIKE kutokana na uozo huo....
Ubovu na uozo wa tume ya uchaguzi kwa bahati nzuri haujaenea katika tume nzima, Umeanzia KWA MWENYEKITI WA TUME *MALEBO DEUSDEDITH* na member wachache ambao WAMEKUWA CORRUPTED na Mgombea mmoja wa Uraisi *BW. ANTHONY*:whoo:
***...SINA HAJA YA KUFICHA WALA KUUMAUMA MANENO....***
Tuna USHAHIDI na soon TUTAUTHIBITISHA KWA UMMA WA WANA-SAUT namna RAIS ALIYEPITA *MATABA COSMAS* alivyoiba fedha za SAUT, Alivyovuruga utaratibu wa tume kwa kuunda Tume yake ya kipuuzi na kuweka watu wake ikiwemo kumuandaa Mgombea wa Urais *ANTHONY* ili afunike upuuzi alioufanya wakati wa kipindi chake...
TUNA USHAHIDI ya Vikao wanavyovifanya ktk Hotel ya GOLDEN CREST ili kuiba kura na TUNAJUA KUWA BW. ANTHONY KAHONGA TSH. MILLIONI TATU (3) ktk tume ili wizi wa kura ufanyike,
TUNA USHAHIDI namna mwenyekiti wa tume Alivyohongwa Tsh. MILIONI. 1 na huyohuyo bw Anthony, ili afanye mizengwe baadhi ya wagombea wenye sifa MARA MIA.9 yake waondolewe ili akose mpinzani mwenye sifa.
TUNA USHAHIDI namna Huyu mwenyekiti wa tume *MALEBO* ALIVYOAHIDIWA U-WAZIRI MKUU ktk serikali hiyo ya kipuuzi ambayo anadhani itapita.
Tunajua kuwa Anthony huyo kadanganywa na Mataba eti "UONGOZI UNA HELA, WE HONGA ZITARUDI UKIINGIA MADARAKANI......PUUUUUUUU*****MBBAAA****VUUUUUUU...!!! MTASUBIRI SANA...
Tunajua kuwa kuna watu wameandaliwa ili KUIBA KURA, KUWADHURU KIMWILI wagombea wenza wa huyo Anthony ili washindwe kufanya kampeni.
SAUT SIYO SHAMBA LA BIBI.! NA KAMWE HATUTANGIZA UPUUZI KTK UONGOZI WA CHUO..!!!:censored:
Tunayasema haya kwa uchungu mkubwa, kwa kuwa hatupendi kuwa sehemu ya uovu wowote unaotendeka ndani ya tume na serikali kwa kujua au kutokujua.
Mwanahisabati mashuhuri wa Marekani miaka ya 1940's Albert Einsten aliwahi kusema kuwa;
Kwa maana hiyo, tumeamua kuchukua hatua dhidi ya uovu tuliouona, ili tusifanyike kuwa sehemu ya uovu huo...
KITIMA BE AWARE......TUNAKULETEA USHAHIDI VERRY SOON na WANA-SAUT MSIDANGANYIKE.....HATUTARUHUSU WEZI KATIKA CHUO CHETU HASA CHUO KIKUU.....
WANA-SAUT AMKENI.......KATAENI UCHAFU WA MATABA NA SERIKALI YAKE ILIYOPITA..
ANTHONY NA VICE WAKE *ALICE* HAWAFAI..!!!!
Ktk hali ya kushangaza kama si kustaajabisha, Tume ya uchaguzi imekuwa MBOVU, YA KI*PUU*ZI, ISIYOTENDA HAKI, YENYE KUELEMEA UPANDE WA MGOMBEA MMOJA WA URAISI na mambo mengine mengi sana yenye KUCHEFUA, KUUDHI, KUKERA kama si kuwafanya wengine WATAPIKE kutokana na uozo huo....
Ubovu na uozo wa tume ya uchaguzi kwa bahati nzuri haujaenea katika tume nzima, Umeanzia KWA MWENYEKITI WA TUME *MALEBO DEUSDEDITH* na member wachache ambao WAMEKUWA CORRUPTED na Mgombea mmoja wa Uraisi *BW. ANTHONY*:whoo:
***...SINA HAJA YA KUFICHA WALA KUUMAUMA MANENO....***
Tuna USHAHIDI na soon TUTAUTHIBITISHA KWA UMMA WA WANA-SAUT namna RAIS ALIYEPITA *MATABA COSMAS* alivyoiba fedha za SAUT, Alivyovuruga utaratibu wa tume kwa kuunda Tume yake ya kipuuzi na kuweka watu wake ikiwemo kumuandaa Mgombea wa Urais *ANTHONY* ili afunike upuuzi alioufanya wakati wa kipindi chake...
TUNA USHAHIDI ya Vikao wanavyovifanya ktk Hotel ya GOLDEN CREST ili kuiba kura na TUNAJUA KUWA BW. ANTHONY KAHONGA TSH. MILLIONI TATU (3) ktk tume ili wizi wa kura ufanyike,
TUNA USHAHIDI namna mwenyekiti wa tume Alivyohongwa Tsh. MILIONI. 1 na huyohuyo bw Anthony, ili afanye mizengwe baadhi ya wagombea wenye sifa MARA MIA.9 yake waondolewe ili akose mpinzani mwenye sifa.
TUNA USHAHIDI namna Huyu mwenyekiti wa tume *MALEBO* ALIVYOAHIDIWA U-WAZIRI MKUU ktk serikali hiyo ya kipuuzi ambayo anadhani itapita.
Tunajua kuwa Anthony huyo kadanganywa na Mataba eti "UONGOZI UNA HELA, WE HONGA ZITARUDI UKIINGIA MADARAKANI......PUUUUUUUU*****MBBAAA****VUUUUUUU...!!! MTASUBIRI SANA...
Tunajua kuwa kuna watu wameandaliwa ili KUIBA KURA, KUWADHURU KIMWILI wagombea wenza wa huyo Anthony ili washindwe kufanya kampeni.
SAUT SIYO SHAMBA LA BIBI.! NA KAMWE HATUTANGIZA UPUUZI KTK UONGOZI WA CHUO..!!!:censored:
Tunayasema haya kwa uchungu mkubwa, kwa kuwa hatupendi kuwa sehemu ya uovu wowote unaotendeka ndani ya tume na serikali kwa kujua au kutokujua.
Mwanahisabati mashuhuri wa Marekani miaka ya 1940's Albert Einsten aliwahi kusema kuwa;
Kwa maana hiyo, tumeamua kuchukua hatua dhidi ya uovu tuliouona, ili tusifanyike kuwa sehemu ya uovu huo...
KITIMA BE AWARE......TUNAKULETEA USHAHIDI VERRY SOON na WANA-SAUT MSIDANGANYIKE.....HATUTARUHUSU WEZI KATIKA CHUO CHETU HASA CHUO KIKUU.....
WANA-SAUT AMKENI.......KATAENI UCHAFU WA MATABA NA SERIKALI YAKE ILIYOPITA..
ANTHONY NA VICE WAKE *ALICE* HAWAFAI..!!!!