The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,607
- 6,071
mmh golder ...finest uyo ............!!!!
finest toa tution bas kdg watu TUJIPANGE FOLEN.......!!!!natania mwaya
bt kitu cha ratiba ni kizuri mnoooooooooooooooooooooo cz unakuw aushajiandaa na siku husika so mnapeana kikukweli cz mentally ,spritually,down...unakuwa readyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy..na si ile dizaini ya ambush hahahha..natania mwaya!!!!!!!!!!!
mavamizi sryle ndo ya ukweli.
Nilikuwa nina mpango wa kuleta (posa) lakini naona umeishaanza kuzungumzia mambo ya ratiba hata hatujafika mbali sasa naanza kufikiria mara mbili kuhusu uamuzi wangu juu yako