bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
rose bana unazidi kunichekesha hofu lazima iwepo si unajua hata mwanafunzi kabla hajaingia kwenye necta huwa anahofu ila akishaingia anazoea
kwani golder wewe hata mechi za mazoezi, zile za mchangani huzifanyi ili zikupe uzoefu na ukakamavu kabla hujaingia kwenye mechi yenyewe????nadhani hizo zinaweza kukuongezea ujasiri na kukuondolea uoga!