Khaaaaa!Wanaume wengine akili zao bana... au ndio kupenda ugomvi????
Kwa hiyo asipoiona haiingii au?
Wanaume wengine akili zao bana... au ndio kupenda ugomvi????
Kwa hiyo asipoiona haiingii au?
Kaishi bila kuiona kwa miaka 15 kinachomshinda nini????mnyime mumeo asiiangalie uone muziki wake!unajibu kirahisirahisi tu!!
Uvinza kwa mchepuko, ndoani uvinza haiapplyAnamuonea aibu inamaana hata bafuni huwa hawaogeshani? Hata uvinza hajawahi fika? Duuuuu pole yake
LOOOH...!!!! Hahahah!!! eti kofia ya Museveni...Huu utomaso ni wa kiwango mtambuka!
Aone ili iweje? Hajui kuwa ukimchunguza sana bata hutamla?
Au haamini kwamba mshedede wake hupitia hapo kwenye pango la amboni?
Ama kweli wazungu walisema; "seeing is believing"
Kuna nyapu nyingine zimehohonolwa kama sio kukeketwa. So mtahadharishe sana asije akaiona akaishia kumkinai mkewe at their age. Muulize asili ya kwao huyo shemejiyo na kama ni mkurya basi ategemee kukuta kyuma ina boonge la pengo mithiri ya bonde la ufa kwajl ya kukeketwa. Na kama ni msukuma basi atakuwa na boonge la simi kama kofia la Museveni!
labda nenda wewe ukayaone afu njoo utupe majibu yakoje maybe anamuonea aibuKuna jamaa yangu ameniletea malalamiko kwamba ana ugomvi na mkewe ,ugomvi unao tokana na kudai kwamba wana miaka kumi na mitano na mkewe na wamebahatika kupata watoto watatu lakini katika kipindi chote hicho baba mtu anadai hajawai kuona sehemu za siri za mke wake.
Anadai kwamba yeye amekuwa mtu wa kujiachia maungo yake kwa mkewe lakini mwenzake amekuwa tofauti sana na mwepesi mno kufunika kwa mikono nyeti zake mara baada ya shughuri.
Anasema amejitahidi sana kwa kipandi chote hicho bila mafanikio pamoja kufanikiwa kuzaa naye watoto watatu. Sasa kabla sijamwita shemeji na huyu mbaba kuwapa ushauri nimeona nipate kwanza mawazo yenu members wenzangu wa MMU.
Karibuni kwa ushauri wenu.