Wana Kagera Njooni Hapa Tutete, Tujadili, Tuzungumze, Tufanye Maamuzi, na Tuchuke Hatua!

Mh. Maghufuli aliona Kagera tunakuwa kikwazo kwa kasi yake ya maendeleo akahamishia tarafa yake ya CHATO kwenda mkoa mpya wa Geita na kuipandisha hadhi chato kuwa Makao Makuu ya Mkoa. Huu ndiyo mfano mzuri wa matokeo ya jinsi tulivyochoka mpaka wenye akili wanajitenga na mkoa na bado watu wanaona mambo mswano! Mtumishi Wetu unaanza kutonesha vidonda sasa.
Mkuu ahsante kwa kunijuza nilikuwa sijui kumbe huyu bwana ni mjanja fulani kihivi??? Kahamisha barabara ya lami from B'mlo to Chato tena kahamisha tarafa to new Region Geita, kweli huyu anaona mbali tupigane kivyetu tuta tokea tuu iko siku!!!Halafu bi mkubwa dada yetu Prof nasikia anamiliki a big chunk of land eneo hilo la Chato yote ni kuboresha maendeleo ya eneo lake!!! Jibu ni M4C tuu!!!

 
........kumbe huyu bwana ni mjanja fulani kihivi??? Kahamisha barabara ya lami from B'mlo to Chato tena kahamisha tarafa to new Region Geita, kweli huyu anaona mbali ......
Mimi simuiti Mjanja bali Mjasiri wa Maendeleo ya kweli kwa watu wake. Bahati nzuri nimekuwepo na kwa kiwango fulani ninaifahamu historia ya kisiasa ya Biharamulo iliyopelekea kumegwa kwa B'mulo Mashariki na B'mulo Magharibi. Haya mambo mengine tukiyaandika hapa kwa kudhania kuwa historia ya kweli itapendwa na wengi, tutajenga maadui na kukwamisha kutimia kwa malengo ya huu mjadala wa Omutwale! Itoshe tu kusema hata jicho likiwa kikwazo cha wewe kwenda mbinguni unashauriwa uling'oe. Bora ulikose lakini uifikie mbingu. Labda niongeze pia Kagera ilikuwa moja toka mikononi mwa Wakoloni. Na hili suala la kujigawa na kuleta matabaka hajalianzisha Maghufuli. Mfano mdogo tu wa hivi majuzi; Wana-Missenye wameshinda kilio chao cha siku nyingi kujitenga toka BK (V). Labda alichokifanya cha tofauti kidogo Maghufuli ni kuhama kabisa kutoka Kagera na kwenda Geita. Hili la kuhamisha barabara Maghufuli hajafanya lolote la ajabu kwa Kagera. Mbona Simu za mezani zilienea/(zilianzia) Kanyigo kabla ya BK? au mbona umeme ulitandazwa mapema zaidi Kamachumu kabla ya sehemu zingine muhimu Kagera?
tupigane kivyetu tuta tokea tuu iko siku!!!.....

Hili neno. Na kiukweli mapambano yameshika hatamu. Ila ninahofu moja tu; vikosi vya mapambano vimekuwa vingi na vimetapakaa bila kuwa na Kiongozi Mkuu mmoja. Ninakuwa na wasiwasi tusije tukaacha kupigana na adui tukaanza kulengana sisi kwa sisi!
Halafu dada yetu Prof nasikia anamiliki a big chunk of land eneo hilo la Chato yote ni kuboresha maendeleo ya eneo lake!!! Jibu ni M4C tuu!!!

Nijuavyo kwa taarifa zilizo zagaa mitaani (maani mimi si msemaji wake) huyu naye amefanya kwa nia njema na kwa kufuata taratibu kumiliki ardhi kwa ajili ya kufanya kilimo cha mpunga na ufugaji. Na katika mpango wake anavisaidia vijiji jirani kurasimisha umiliki wa ardhi. Kuna ubaya hapa? Ila tu tatizo liko kwetu tunaokalia dhahabu bila kujishughulisha kuichimba halafu eti tunalia umaskini. Lakini akija mtu akaanza kuichimba ghafla tunaanza kulalama! La muhimu ni kujishughulisha kutumia rasilimali zilizotuzunguka. Mbona mapori bado yako mengi tu Kasindaga, Kakumbyandai, n.k
 
Twechonche tushube owaitu tubahindule bamanye okwo aliyo amageuzi omunsi.Tupeni muongozo wataalamu ensi CCM yabalema kipaswa yugitwale 2015.
 
Waitu Shumalamu.
Week kama mbili zilizopita niliweza kwenda kijijini kwetu sehemu za Bugabo kulikuwa na harusi ya mtoto wa kaka yangu. Baada ya kuwanunulia wana kijiji chupa mbili tatu za kapombe ketu nikaingiza mjadala wa siasa nikasema wanaotaka mabadiliko katika nchi hii ni wangapi. Mzee mmoja alinipa jibu ambalo lilikuwa la kufurahisha. Alisema yeye ni mwanachama wa CCM tangu TANU lakini anataka vijana walete mabadiliko kwani haoni tena faida ya CCM.
Vijana nao wakasema wao wakipewa sukari kilo moja inatosha na CCM ndo huwa wanafanya hivyo. Basi nikajua umasikini wetu ndo mtaji mkubwa wa CCM.

Mkuu umenikumbusha kisanga kimoja, siku moja nikawa nazungumza na mama yangu mzazi kuhusu vyama vya upinzani nchini; katika mazungumzo yetu nikamdadisi: Hivi mama wewe unapendelea chama gani? alikaa kimya kwa muda alafu kanijibu: unajua hawa watu wa vyama vya upinzani wakija hapa nawambia mimi sihitaji card ya chama chochote, card niliyo nayo niya UBATIZO basi! Majibu yake yalinishangaza kidogo,mwishowe kanambia unajua mimi nina card ya CCM lakini vyama vya upinzani vikija hapa nawambia adithi nyingine KABISA! Hakuishia hapo kaongezea " Mwanawange kugamba amazima, inye akayo kange kona katula CCM" jibuhilo liliniacha hoinika-conclude kwambamambo yenyewe kama ndio haya basi CCM itabaki madarakani kwa muda mrefu sana, mama ni mzaliwa wa Bugabo sasa inakuwaje watu wa huko TANU/CCM naona bado hiko embeded kwenye blood stream zao nini? Nafikili vyama vya upizani vinapashwa kufanya kazi za ziada.

Mkuu vipi nasikia mradi wa kivuko Rubafu kwenda Uganda kimehamishiwa kwingine kulikoni?
 
Ombeni JF waweke Jukwaa la wahaya kwani mnatuboa ni vilugha vyenu. Lugha ya Taifa ni Kiswahili, andikeni kwa kiswahili ili na sisi tuwape mawazo kama huyo mwana jamvi aliyewaambia nyie ni wavivu.

Kweli mko nyuma kimaendeleo kwenye mkoa wenu, inabidi mfanye kazi ya ziada na muwe wamoja. Mnayo nafasi ya kuwa na wasomi wengi na watu wengi wenye nafasi serikalini, sisemi kwamba wawapendelee ila watumie akili zao kwa manufaa ya mkoa wenu pia. Watumie pesa zao kwenye uwekezaji mjini bukoba na si kujenga tu huku dar na miji mingine. Mna ardhi yenye rutuba, samaki, maji ya ziwa na nafasi ya kufanya biashara kwenye nchi jirani.
Msipoangalia, mtatoka kwenye usomi na kuanza kufanya kazi majumbani kwa watu. Wakora waitu.

wakola muno.
 
Wachangiaji wote naomba kuwafahamisha kuwa huu ni mjadala endelevu ambao kikomo chake kitafikiwa kwa kuweka maazimio na kugawana majukumu. Lazima tufanye mambo kitofauti kama hatutaki kupata matokeo yaleyale. Najitolea kuufuatilia mjadala huu na kuandika maazimio. Naomba msaada wenu juu ya timeframe; lini ufungwe na kutangaza maazimio na kugawa majukumu?

me naona uendelee mpka AUGUST
 
Nyowe kubasa kufanikisha nagalukile omuka...........nyina amatumaini mwaha abantu mpaka omukyalo bali CDM.....tibakyenda kyama kiliwo......hata hivyo amahanga ngatumala amagezi asilimia 89% ya abaikulalamika munu muli omumahanga. Mugalule
 
Nyowe kubasa kufanikisha nagalukile omuka...........nyina amatumaini mwaha abantu mpaka omukyalo bali CDM.....tibakyenda kyama kiliwo......hata hivyo amahanga ngatumala amagezi asilimia 89% ya abaikulalamika munu muli omumahanga. Mugalule

nye nili cdm, ekyama kilio tinku kyenda, nkitumala.

Ntukwenda owe mkombozi waitu! Ola kunda!
Tutwale amaela gaitu kagera!
 
Nyowe kubasa kufanikisha nagalukile omuka...........nyina amatumaini mwaha abantu mpaka omukyalo bali CDM.....tibakyenda kyama kiliwo......hata hivyo amahanga ngatumala amagezi asilimia 89% ya abaikulalamika munu muli omumahanga. Mugalule

waitu; ekyo-wagamba kigambo kigumile kandi kina enshonga; ka twe-teke-te-ke tulebe tulebe okwotulagobana tukayambangana; abandi tuli omumahanga alweshonga ye-i-kola.
 
nye nili cdm, ekyama kilio tinku kyenda, nkitumala.

Ntukwenda owe mkombozi waitu! Ola kunda!
Tutwale amaela gaitu kagera!


waitu; ekyo-wagamba kigambo kigumile kandi kina enshonga; ka twe-teke-te-ke tulebe tulebe okwotulagobana tukayambangana; abandi tuli omumahanga alweshonga ye-i-kola.




Nanye mbali ndi ndiyo ninkola..........nyowe kanyaka nindaba buli kyalo nindeba ehali okw'eli. Nazunguka mkoa wote maeneo ya vijijini hamasa ni kubwa....pia najitahidi kuwafundisha ndugu zangu waache uvivu. Omuntu omwiga ngulaba enyuma y'enju ya wenene chonka nalinda bamutwekele amaela agokugula entongo omumujajalo kuluga omumahanga(mbali muli)..............badala y'okulima buli kantu.

Migomba iliharibika........kahawa hazina dili sana lakini.....kuna mbuga nyingi na maji yanatirirka mwaka mzima. Hawajui kulima mpunga. Wamekuja wasukuma wanalima mpunga unastawi lakini badala ya ndugu zangu nao kulima wanasubiri wasukuma wavune ili wawauzie. Wanadiriki kuwapigia simu nyie mlioko huko kwenye mahanga muwatumie pesa za kununua "akachele" a.k.a "akashinyanga" a.k.a "ekibuza magezi" a.k.a " amauli g'ebinyomo" na nyie mnatuma tuuu...badala ya kuwasaidia. Kuhusu mapinduzi ya Kilimo Mkoa wa Kagera nina agenda nzuri ambayo nataka iwe sehemu kubwa ya kampeni kwa CDM kuanzia ngazi ya kijiji hadi mkoa mzima. Nikiitoa hapa magamba wanaidaka.
 
Mkuu Omutwale. Nimeshuhudia kampeni za ubunge wa jimbo la Arusha mjini mwaka 2010 na marudio ya uchaguzi wa Arumeru mashariki mwaka huu. Ni kazi kubwa ambayo inahitaji vijana na wanamageuzi kujitolea. Kujitolea kwa mafanikio ya Tanzania kwa ujumla,lakini pia kwa jamii yao. Sidhani kama vijana wetu na wanamageuzi wa Kagera wanafahamu kama wako tayari kwa kazi hiyo. Bado kuna kazi kubwa na uhamasishaji mkubwa inabidi ufanyike.
Jamani hii sentensi ina ukweli MZITO MNO na maono ya mbali! Jaribuni kuitafakari kwa kina mtamuelewa Ndugu timbilimu
 
Muhimu kwa wadau na wana Kagera. CCM kama chama kilichopigania Uhuru na kikatuongoza mpaka leo,kimefanya mengi mazuri kwa taifa letu,lakini sasa kimechoka. Hatuhitaji mpiga ramli kwamba kinapumulia masaa ya mwisho ya uhai wake kisiasa. Kwa hiyo ni juu yetu wana Kagera kujumuika na wenzetu kupata uongozi mpya wa nchi yetu. Tukizubaa ama kuchelewa tusianzishe visingizio vya watu wavivu kwamba tunaonewa,tunabaguliwa ama tumetengwa ktk uongozi. Kama kuna watu ambao wanapaswa kuongoza harakati hizi ni vijana. Natambua kwamba tumechelewa,lakini bado tunaweza sahihisha makosa yetu.
 
Mkuu, nimesoma kwa makini maoni ya ndugu zangu humu, lakini kuna kitu kinanisikitisha kidogo: Hivi kweli wana Kagera tunafikili vyama vya siasa ndio vitatuletea mabadiliko katika mkoa wetu KWELI? Tatizo letu kuu ni mind set zetu, tumeusahau mkoa wetu na hakuna anaye jali - wenzetu Wachagga wenye cash crop na hali ya hewa kama ya Kagera wamewezaje kufanikiwa kimaendeleo, mimi nimewachunguza sana Wachagga ni watu wenye umoja na kuheshimiana huwezi hata siku moja kumkuta Mchagga anamtambia Mchagga mwenzake na cha ajabu zaidi ni kwamba lugha zao ni tofauti kabisa! Mchagga wa Kibosho hasikilizani na wa ROMBO wanapozungumza kilugha lakini hilo aliwazuhii kushikamana na kuendeleza MKOA wao. Nasikia wenzetu wanapeana malengo, kila Mchagga ambaye yuko nje ya Kilimanjaro anaporudi nyumbani likizo lazima aonyeshe ame-contribute nini kwenye maendeleo ya kijijini/mkoa wao na yeye binafsi kapiga hatua gani kimaendeleo; hawezi kusema nimejenga magarofa arobaini Dar wakamuelewa, wanahakikisha wana msakama kisaikolojia mpaka anabadilika na kuanza kujali kwao, kama wanamuona amezubaa kidogo wanampa mbinu za kujikwamua kimaisha au anapewa mkopo na wanahakikisha anaurudisha within time frame aliyopewa - Je sisi Wahaya emitima yaitu okweli bilebi nani anaweza kuwa na guts za kumjali mwenzake au mkoa wake just to emulate 'em Chaggas?

Sisi tulikuwa na bahati ya kuzungumza lugha moja karibu MKOA mzima tofauti ni katika matamshi hapa na pale lakini tunaelewana tu. Lakini attitude zetu sisi kwa sisi ni mbaya SANA tuwe wakweli, tuna majivuno sana, kutambiana, uvivu, fitina, olwango logo, kuharibiana sifa and all vices you can think of!!! Bila ya ku-address tatizo hili kwanza na kuhakikisha linatoweka kabisa sioni kama tunaweza kupiga hatua ya kwenda kwenye MAFANIKIO. Lets borrow a leaf from Prof. Anna Tibajuka huyu ndiye anaonyesha yuko committed 100% na maendeleo ya mkoa wa Kagera bila kumsahau Barozi Kagasheki Khamis aktika mchango wao wa kuinua mkoa wa kagera kwa vitendo, juzi juzi hapa nilimuona Prof. Anna K. Tibahijuka akikusanya wana Kagera wenzake kwenda kumtembelea M7 hili wajifunze kitu kuhusu kilimo na jinsi walivyo fanikiwa kukabiri magonjwa ya mnyahuko wa migomba, leo hii niliona mtu anazungumzia kuhusu SUA kufanya utafiti wamesahau kwamba Uganda wamepiga hatua sana katika suala hili consquently there is no need of reinventing the wheel wajifunze kutoka kwa Waganda. Mimi ndio mchango wangu kwa leo, oh labda nikumbushe kidogo kwamba kuna mwana JF ametoa maoni ambayo nimeona yana mantiki sana amesema hivi: tujaribu ku-tone down matumizi ya lugha ya Kihaya ili na wao waweze kutoa maoni/ushauri, nafikili hilo wazo tusilipuuzie - Omukama alinde.
 
Mkuu, nimesoma kwa makini maoni ya ndugu zangu humu, lakini kuna kitu kinanisikitisha kidogo: Hivi kweli wana Kagera tunafikili vyama vya siasa ndio vitatuletea mabadiliko katika mkoa wetu KWELI? Tatizo letu kuu ni mind set zetu, tumeusahau mkoa wetu na hakuna anaye jali - wenzetu Wachagga wenye cash crop na hali ya hewa kama ya Kagera wamewezaje kufanikiwa kimaendeleo, mimi nimewachunguza sana Wachagga ni watu wenye umoja na kuheshimiana huwezi hata siku moja kumkuta Mchagga anamtambia Mchagga mwenzake na cha ajabu zaidi ni kwamba lugha zao ni tofauti kabisa! Mchagga wa Kibosho hasikilizani na wa ROMBO wanapozungumza kilugha lakini hilo aliwazuhii kushikamana na kuendeleza MKOA wao. Nasikia wenzetu wanapeana malengo, kila Mchagga ambaye yuko nje ya Kilimanjaro anaporudi nyumbani likizo lazima aonyeshe ame-contribute nini kwenye maendeleo ya kijijini/mkoa wao na yeye binafsi kapiga hatua gani kimaendeleo; hawezi kusema nimejenga magarofa arobaini Dar wakamuelewa, wanahakikisha wana msakama kisaikolojia mpaka anabadilika na kuanza kujali kwao, kama wanamuona amezubaa kidogo wanampa mbinu za kujikwamua kimaisha au anapewa mkopo na wanahakikisha anaurudisha within time frame aliyopewa - Je sisi Wahaya emitima yaitu okweli bilebi nani anaweza kuwa na guts za kumjali mwenzake au mkoa wake just to emulate 'em Chaggas?

Sisi tulikuwa na bahati ya kuzungumza lugha moja karibu MKOA mzima tofauti ni katika matamshi hapa na pale lakini tunaelewana tu. Lakini attitude zetu sisi kwa sisi ni mbaya SANA tuwe wakweli, tuna majivuno sana, kutambiana, uvivu, fitina, olwango logo, kuharibiana sifa and all vices you can think of!!! Bila ya ku-address tatizo hili kwanza na kuhakikisha linatoweka kabisa sioni kama tunaweza kupiga hatua ya kwenda kwenye MAFANIKIO. Lets borrow a leaf from Prof. Anna Tibajuka huyu ndiye anaonyesha yuko committed 100% na maendeleo ya mkoa wa Kagera bila kumsahau Barozi Kagasheki Khamis aktika mchango wao wa kuinua mkoa wa kagera kwa vitendo, juzi juzi hapa nilimuona Prof. Anna K. Tibahijuka akikusanya wana Kagera wenzake kwenda kumtembelea M7 hili wajifunze kitu kuhusu kilimo na jinsi walivyo fanikiwa kukabiri magonjwa ya mnyahuko wa migomba, leo hii niliona mtu anazungumzia kuhusu SUA kufanya utafiti wamesahau kwamba Uganda wamepiga hatua sana katika suala hili consquently there is no need of reinventing the wheel wajifunze kutoka kwa Waganda. Mimi ndio mchango wangu kwa leo, oh labda nikumbushe kidogo kwamba kuna mwana JF ametoa maoni ambayo nimeona yana mantiki sana amesema hivi: tujaribu ku-tone down matumizi ya lugha ya Kihaya ili na wao waweze kutoa maoni/ushauri, nafikili hilo wazo tusilipuuzie - Omukama alinde.
Mwami Bukyanagandi mawazo yako ni murua kabisa ila Mkulu inabidi tuwe kianzio yaani entandikwa kusudi tuweze kendeleza yote tunayopnga!! Nimeisha sema tusiogope kila kitu kina mwanzo bila kupanda mbegu haiwezi kuota na kustawi, Omutwale ametupa changamoto inabidi tuanze sasa isiwe maneno matupu!!!Sasa tukolekiii, tunahitaji muendelezo wa hizi fikra za kuinua uchumi wa Kagera yetu!!!

 
Wakuu,

PrN-kazi, Katikomile, chitambikwa, Adoe,Wieka, jrrugy, Lowenstern, Kandambilimbili, Kenge (Eng), RUGAHIMBILA E R, Mzee2000, simeu, RUTAJUMBUKIRWA, Inviolata, Bujibuji, Mzee Kibiongo, Kaitaba, Kaa la Moto, Asprin, edwinito, Kisusi Mohammed, Naumia, Charuka, Baba_Enock, Domo Kaya, Kashaija, Iza, Sajenti, Domo Kaya, Rugas, Son of Alaska, Binti Maringo, Tiba, Charuka, Katoma, Ustaadh, Omutwale, Rwey, Kyakya, SONGEA, Bishanga, Sir, Robweme, Pelle mza, Kyemba, bakuza, Bigaraone, Chaimaharage, evoddy, Gagnija, Hagga, Jaji, james chapacha, Kagalala, Kaitampunu, kanyagio, Kibera, Lonestriker, Mkomamanga, MPIGA ZEZE, MUGUNDA, naivasha, Ngeleshi, PrN-kazi, Qixima mQiqa, RUBERTS, Rwamarungu, Rweza, sangija, Seneta,mukama talemwa,Speedy, timbilimu, Tukundane, Yakuza,rugumisa,GALIMA,BigTime,Kakalende,PrN-kazi, Alexism, kilikiliani,kanyagio,BUSHAIJABWE, Libaba, Smarty, Baba Collins,Eddy M, BUBE, Tata, KASHOROBANA, Ambassador, Audax, Natasha Ismail, rushaka, charles RMD, Mutensa, nickson,amrikamala, amrikamala, Akami, King of Kings, katelero, ngonzi zomukama, KABAZI, mayenga, Adili, Madenge, MOMO, itembajr, giraffe, zacha, Gsana, Miruko, kuberwa, KakaKiiza, Novatus, Omukuru, naivasha, Bukyanagandi, Mtumishi Wetu, timbilimu, Leonard Robert, Ta Muganyizi, luckman, sembuli, bakuza, ruttashobolwa,Baija Bolobi, Moony, Rutunga M,


Salaam na poleni na mihangaiko ya kujitafutia riziki.

Kama tulivyodokezwa na Rweza, jana kulikuwa na kikao cha maandalizi ya Mkutano wa wana Kagera waishio Dar. Kamati ndogo inayoundwa na vijana toka Kagera ilikutana kutengeneza agenda na kugawana majukumu ya maandalizi ya Mkutano wa Wana-Kagera wote unaokusudiwa kufanyika Ijumaa ya wiki hii Jijini Dar es Salaam.

Mkutano huu pamoja na harakati zote zitakazoendeshwa chini ya jitihada za Kamati hii hazitafungamana na itikadi yoyote ya kisiasa wala mlengo wowote wa kidini, kikabila, kikanda ndani ya Mkoa au kitabaka, bali zitajikita mahsusi katika ustawi wa Kagera kwenye nyanja kuu za kimaendeleo.

Ili kufahamu ni wapi na saa ngapi Mkutano huu utafanyika, wasiliana na Bw. Rutta 0717-310-538


Nimetakiwa kutoa taarifa hii ambayo haijakamilika ili kutoa alert mapema kwa wale walioko Dar waweze kuweka sawa ratiba zao za Ijumaa. Mara tu ukumbi na saa vitakapokuwa vimethibitishwa, nitaandika bandiko rasmi la Mwaliko.

Omutwale asante kwa kuianzisha safari ya mtandaoni na pia shukrani ziwaendee wanajeshi wa ardhini-Kamati inayoratibu Mkutano muhimu na yumkini wa kwanza katika zama hizi kujikita mahsusi kutafuta suluhu jinsi ya kukomboa hadhi ya Kagera.
 
Pia mfanye tafakuri kwa kitendo cha vijana pale Bk kumpigia saluti Nape maana kiliwatia aibu sana mbele ya jamii ya watanzania.
 
Pia mfanye tafakuri kwa kitendo cha vijana pale Bk kumpigia saluti Nape maana kiliwatia aibu sana mbele ya jamii ya watanzania.

Mkuu tukianza tena ku-entertain mambo ya itikadi,dini, kata/kitogoji, kabila - maanake MKOA wa Kagera kuna kabila zaidi ya moja, tukianza ubaguzi wa namna hiyo hatutafika MBALI.
 
Back
Top Bottom