Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Aaaaah Mbona unakwepa tena
nakwepa nini tena Gerald?nikushauri kitu kingine???
Aaaaah Mbona unakwepa tena
Ndio nini hiyo
Kwani nimekosea Karen, si anatafuta mtoto wa kazi!!! Hahahaa
si kama mimi,usingekuja leo ningehama JF,ni ngumu bila wewe jamani....mambo shwari sio?
kwamba wanawake wenye miaka 40 kwenda juu ni wachachu kwa hiyo wanaleta raha sana....we ulijua hilo?
:becky::becky::becky::becky::becky::becky:
nadhani ni wakati muafaka wa kuanza kupitia posti zako zote......l.o.l ole wako uwe umenikwaza..:ranger:
Embu nishauri
duh.....kashasema mweupe,below 25 na graduate diploma and above......:hand::hand:
:becky::becky::becky::becky::becky::becky:
Gurudumu....this is a serious business....akimpata mchumba hapa ndo hivyo tena Michelle napokea baraka kwa kumsaidia.....naomba muwe serious!!
Hata kidogo so kwenda juu ni wachachu ni nini
nadhani ni wakati muafaka wa kuanza kupitia posti zako zote......l.o.l ole wako uwe umenikwaza..:ranger:
uwe unatoa thanks,hapo kushoto kwako kuna sehemu utaona pameandikwa thanks....click hapo kama comment imekufurahisha au umeipenda!!!
kila la kheri Gerald
mi ntasema CPU ndo alisema......:decision::decision: