Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,609
- 3,500
njoo tujipumuzishe michelle isiwe taabu bure mmmmh yeeeehh
yaani bora umesema,huu unyanyapaa wa umri unaninyima raha....twende zetu basi jamani tukapumzike!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njoo tujipumuzishe michelle isiwe taabu bure mmmmh yeeeehh
wewe una umri gani sometime doesn't matter
Natafuta binti plse msaada kwenu
sijaelewa....wewe ndo mwenye below 25 au unayemtaka ndo awe na below 25???
sasa kama nimekuzidi sana huoni kuwa nitazeeka kabla yako na waweza ninyanyasa baadaye na kwenda tafuta wa age yako?????:rain:
Nifundishe mrembo
Gerald bana, ndo matatizo ya kutoingia jamvini muda mrefu
Michelle kajileta badala ya kumchangamkia una ng'aaa ng'aaa tu mimacho, haya sasa Kimbweka kashakupiga bao
Michelle nae mmmmmmh, anamfuatilia dogo wa watu kana kwamba atampa kweli
kama mtu akichangia kwa thread yako.....ukiwa unamjibu huyo mtu....kuna sehemu pameandikwa REPLY WITH QUOTE,una click tu pale then unamjibu huyo mtu.....itasaidia sana kujua unamuuliza nani na kutokana na post yake ipi.....sasa unavyoandika hivyo wengine inakuwa ngumu kujua unamuuliza nani???ni hilo tu Gerald!!!
Jf Bana nina umri above 30 so ni bora kuwa na mwenza ambaye umri wake nimepishana kama 5yrs kutokana na maumbile ya wasichana so zingatia mawazo ya mtu
Umri unakutoa nje kivipi