babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,102
- 15,992
nadhani inabidi tumcheki PJ kule room atupe up-dateAcid mwache Max akampumzike.Kutekeleza masharti ya dakatari ni muhimu,afya yake ya baadaye ni muhimu kuliko taarifa ya leo.
BTW wapo hapa kina PJ watatupa habari.,au humwuoni PJ nini?He is hia hia,now now...
anza basi mama kutuma ujumbe kule,ndio italeta quick response:teeth: