Wana-JF: Ujumbe Mzito Toka Serikali!

Status
Not open for further replies.
Mkumbuke kuna mamluki wa serikali wanafurahia hata this minute tunavyoendelea kugawanyika kimawazo hapa JF

Aluta continua!! Its time to give them the taste of their own medicine.
 
Kuna harufu ya uoga imeanza kusmell hapa, siku nyingine atakuja mtu hapa atasema jamani nimepata ujumbekutoka ikulu unasema tusitaje majina ya wakuu, siku nyingine tusitaje vyeo,n.k
Hapana, hii tunahitaji kuwa macho hasa. Tumesikia mengi sana kwa wakati mfupi kuwa kuna waandishi sasa wananunuliwa, tuweni macho na hawa na kila mmoja bila kujali umaarufu wa hoja zake hapa JF.
 
Sikujua kama hapa JF tuna mwalikilishi anae act as middleman btw JF na serikali, hii ni elimu mpya nimeipata leo.

Labda Mods or Invisible atatuwekea wazi ni lini/kikao kipi kilimchagua/mteua mwakilishi huyu ili tupate mwanga wa kuelewa vizuri, nachelea na na reserve my comments mpaka nitakapo pata mwanga juu ya hili. Isije ikiwa tunadili na self-proclaimed middleman na haya mambo ya u double agent yana madhara makubwa sana, mtu anataka apendeze kote kote nina smell tunakokwenda ni kubaya.

I would hope na ningeupa uzito ujumbe huu kama ungetoka kwa vijana wetu waliokuwa wanashikiliwa kule kwani ni wao ndio waliokuwa mikononi mwa "watawala" otherwise any attempt ya ku capitalise on this saga by huyu "self-proclaimed" mjumbe ni wa kupuuzwa tu....

Kama wana lolote wanaona linachupa mipaka Invisible amefanunua wazi kuwa milango yake ipo wazi na wapo tayari kulishughulikia. Sasa hawa wanaojitafutia umaarufu sijui "ujumbe mzito kutoka serikali" wameupata wapi watuambie ni nani huyo huku serikali "aliemtuma?" kwani serikali ina mkono mrefu hata mwenyekiti wa mtaa nae ni serikali.

JF is bigger than kuokota habari mitaani na kuzi sensationalise kwa vichwa vya habari vikubwa, tuna chambua pumba na mchele hapa.

Watu wengine bwana sijui tuwaweke kwenye fungu gani yaani ovyoooo...


Masatu kumbe upo ? Unajua bwana mimi nakujua ulivyo kabisa na ukiwa umetaka ukata issue huwa najua huyu ndiye ninaye mjua katika uhalisia wake .Mimi naunagana nawe na nimesema kwamba hapa si salama kuna kitu.Sikubaliani na madai ya matusi maana hayajawahi kutolewa hapa .Kila tusi huwa tunalizima wenyewe .JK na CCM mjue kwamba from now ili kuwa na Kiongozi wa Tanzania hata kuwa mkuu wa Idara lazima Maadili yazingatiwe.Mnbaleta shida kwa kusema maadili ni mambo ya wazungu na Tanzania mtu akiwa mzinzi lakini ana uwezo wa kazi apewe tu.Ndiyo sasa nahoji kuna Balozi wetu mahali fulani hana mke wala mpenzi .Lakini ni balozi hamuoni matatizo haya anayo tuletea ? Je ukiwa huna nguvu za kiume unaweza kuwa Padre ? Nasema hapana na sasa kiongozi wa Tanzania namaadili baba .Akishindwa maadili JF tutakuwa naye .Sasa nataka kujua wewe Mh.Balozi nanihii huna mke wala mpenzi Ubalozi wa nini maana huu ni uongozi .Tutakupima kwa lipi ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom