Wana jf tuwashauri madiwani hawa haraka la sivyo!!!!!1............

USTAADHI

JF-Expert Member
May 10, 2011
1,516
136
wanajf tunaamini kuwa kazi ya madiwani ni pamoja na kutumia vikao halali vya halmashauri kisheria kujadili maendeleo na hata mapungufu yaliyopo na yanayoweza kutokea ndani ya halmashauri husika, kuwajibisha watendaji wanapotumia madaraka vibaya pia ni jukumu la madiwani
kwa musoma vijijini hali ni tofauti kwani mwenyekiti wa ccm wilaya akishirikiana na mbunge wa jimbo la musoma vijijini wameitisha kikao na kuwanunulia madiwani bia na vyakula mbalimbali wakijifanya wanaukaribisha mwaka mpya.

baada ya madiwani kulewa po mbe wakaaanza kutoa lugha chafu na matusi ya nguoni dhidi ya mkurugenzi wa halmashauri kitu ambacho tafsiri yake ni ;
1kudhalilisha wataalamu kwa ujumla na kuonesha hawana akili
2kuonesha ni jinsi gani nchi hii haina utawala bora na udhalilishaji ndani ya ccm ni mkubwa! kwa wataalaamu wasiokubaliana na matakwa yake
3mbunge huyu mkono anatumia hela yake kudhalilisha wataaalamu wa serikali na ushawishi wake
4njaa ya madiwani pia ni tatizo kwa kukubali kila analosema mbunge mkono
5huyu mwenyekiti wa ccm alikuwa ni sehemu ya madiwani pia? .NAOMBA TUWASHAURI HAWA MADIWANI NDUGU ZANGU
 
ushauri wangu ni kwa sheria kutamka kiwango maalum cha elimu kwa wagombeawa udiwani kwani yote yanyoongelewa na kusababishwa na migogoro ya madiwani haina ubishi inatokana na uwezo mdogo walionao madiwani wetu kielimu, chukulia jiji la Mwanza, Mbeya nk elimu yao kwa asilimia 95% ni std seven.
 
wanajf tunaamini kuwa kazi ya madiwani ni pamoja na kutumia vikao halali vya halmashauri kisheria kujadili maendeleo na hata mapungufu yaliyopo na yanayoweza kutokea ndani ya halmashauri husika, kuwajibisha watendaji wanapotumia madaraka vibaya pia ni jukumu la madiwani
kwa musoma vijijini hali ni tofauti kwani mwenyekiti wa ccm wilaya akishirikiana na mbunge wa jimbo la musoma vijijini wameitisha kikao na kuwanunulia madiwani bia na vyakula mbalimbali wakijifanya wanaukaribisha mwaka mpya.

baada ya madiwani kulewa po mbe wakaaanza kutoa lugha chafu na matusi ya nguoni dhidi ya mkurugenzi wa halmashauri kitu ambacho tafsiri yake ni ;
1kudhalilisha wataalamu kwa ujumla na kuonesha hawana akili
2kuonesha ni jinsi gani nchi hii haina utawala bora na udhalilishaji ndani ya ccm ni mkubwa! kwa wataalaamu wasiokubaliana na matakwa yake
3mbunge huyu mkono anatumia hela yake kudhalilisha wataaalamu wa serikali na ushawishi wake
4njaa ya madiwani pia ni tatizo kwa kukubali kila analosema mbunge mkono
5huyu mwenyekiti wa ccm alikuwa ni sehemu ya madiwani pia? .NAOMBA TUWASHAURI HAWA MADIWANI NDUGU ZANGU

Haituhusu hayo ni mambo yenu magamba bwana.You cannot find such a thing kule Musoma mjini kwa kamanda Vicenti Nyerere.Peooooooooples Poweeeeeeeeeeer
 
Back
Top Bottom