Mungu akubariki kwa kujitoa kwako. Na mimi hofu yangu ni majina yetu itakuwaje, atakuwa mwaminifu kuficha majina yetu, manake kwenye Mpesa tumesajiri majina yetu halisi. Kwako PJ plz naomba ufafanuzi juu ya hili kabla sijatuma
...kazi ya mungu dada yangu haina makosa ni kweli ni jambo zito sana kulipokea lakini ndio ukweli utabaki hivyo my wife has gone...pole sana sajenti mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu ,ndio naona hiin sredi,nitajitahidi kutuma rambrambi zangu,
Ni msiba wetu sote Mkuu, Pole na wewe!
SupportiiiiiiiiiMungu akubariki kwa kujitoa kwako. Na mimi hofu yangu ni majina yetu itakuwaje, atakuwa mwaminifu kuficha majina yetu, manake kwenye Mpesa tumesajiri majina yetu halisi. Kwako PJ plz naomba ufafanuzi juu ya hili kabla sijatuma
Weka picha za msibani maana siku hizi watu wengi wajasiliamali:kidding)
hata mimi mashaka hayo yalipita,sasa sijuiiiii,.....!hap ani imani zaidi
Mkuu, siyo lazima utumie M-pesa yako, nenda banda lolote la M-pesa tuma kiasi unachotaka kutoka hapo. Na ukipenda hata kwenye yale mabuku yao unaandika jina bandia. Ni suala dogo tu hivo.Mungu akubariki kwa kujitoa kwako. Na mimi hofu yangu ni majina yetu itakuwaje, atakuwa mwaminifu kuficha majina yetu, manake kwenye Mpesa tumesajiri majina yetu halisi. Kwako PJ plz naomba ufafanuzi juu ya hili kabla sijatuma