Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Dowico bado inazalisha mvinyo.
Unazungumzia Dowico ipi mkuu? Ni nani mmiliki wake kwa sasa?
Dowico bado inazalisha mvinyo.
Mkuu ilivikuta vingapi na kuviua?
Labda ungesema tujulishane viwanda vilivyoanzishwa na kisha kuuliwa na Serikali ya CCM tangu Uhuru.
Machine tools-Moshi