Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
katika muda wa masaa 24 binadamu amejaaliwa kupata walau masaa machache ambayio huwa peke yake...katika muda huu kuna watu hutumia kusali, wengine kumeditate nk...ukiwa kama binadamu ni mambio gani wewe hufanya ukiwa private,hakuna akuonae wala kukusikia.........karibu