florence
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 423
- 161
Naomba wana jf mnisaidie nipate kazi nina bachelor ya Wildlife Science and Conservation, nafanya kazi kwenye wilaya moja lakini wapendwa hakuna shughuli twasubiri tu mshahara kila mwisho wa mwezi. Mimi ni bint nina miaka kati 27-30, bado nina nguvu na nahitaji kuwa busy. ninauwezo wa kufanya kazi katika mazingira yeyote yale na ninauwezo wa kujifunza kitu kwa muda mfupi namaanisha hata kama kazi sio ya proffesional yangu naweza nikaifanya nikipata training ya muda mfupi.
Please i need your help
Please i need your help