Kaama dakika ishirini zilizopita nilikuwa naendesha usahili kwa vijana ambao wamemeliza vyuo vikuu amini usiamini kati ya vijana hao kumi walishindwa kabisa kufanya conversation ya kingereza japo kwa dakika mbili.
Baba yangu ameishia la nne lakini anaongea kingereza standard na kinachoeleweka ila vijana hawa wana utasikia its likee..... its like..... yani ...... i mean......what am trying to say is?
Ika yaani anababaika mpaka anatia huruma, ni kwamba siku hizi hawafundishwi kingereza shuleni au ndo mkakati wa kufanya kiswahili lugha ya kimataifa umeanza?
Au basi elimu wanaiacha darasani wanatoka na vyeti?
Tatizo liko wapi jamani?
Au wizara ndo imekosa sera kiasi hiki?
Baba yangu ameishia la nne lakini anaongea kingereza standard na kinachoeleweka ila vijana hawa wana utasikia its likee..... its like..... yani ...... i mean......what am trying to say is?
Ika yaani anababaika mpaka anatia huruma, ni kwamba siku hizi hawafundishwi kingereza shuleni au ndo mkakati wa kufanya kiswahili lugha ya kimataifa umeanza?
Au basi elimu wanaiacha darasani wanatoka na vyeti?
Tatizo liko wapi jamani?
Au wizara ndo imekosa sera kiasi hiki?