loh........utamuumiza moyokauzu zaidi ya dagaaa lol
hutaki awe na wake mwenyewe? Mbona wewe una wako?Sasahivi hataki ila mimi ndo nataka!ila nikibananisha kuliko tulia mashine naendesha ila kuwanaye huru hataki anasema anafuta wake mwenyewe!
kauzu zaidi ya dagaaa lol
Kwa hiyo ulioa bila kupenda au?Niliambiwa pale moyo wako unapopenda tambua huyo ndiye unampenda bila kujalisha umeoa/umeolewa!Mapenzi nipale unapopenda!