Wana jf ninatafuta mfanyakazi wa ndani; sifa awe msichana aliyehitimu darasa 7

NYAGO

Member
Sep 2, 2011
20
4
Ninaishi Tank bovu mbezi Beach mawasiliano akipatikana 0714 794842. ila awe mwaminifu.
 
Nimekupata vema lakini, hilo linawezekana ila nacho omba uonyeshe hapo ni salary statement when other factors considered. au unaonaje coz siwezi mtoa mtu huko pasipo kujua benefits zake.....
 
Kuna jamaa yangu anaenda kijijini kwao Iringa na mara nyingi anarudigi na msichana kwa kazi, kama akipewa order. Ka ukikosa nicheki nimuulize
 
Tangazo lako halijakamilika. Elezea mshahara, na mazingira ya kazi yakoje. Kazi gani hasa atakuwa anafanya, fafanua kama kuna watoto wadogo atakaokuwa anawahudumia. Kutakuwa na likizo? Siku za kupumzika? Huduma za matibabu je?
 
Back
Top Bottom