wana JF niambieni kuhusu JKT

Kuhusu JKT nikwamba kulikuwa na wakujitolea na wamjibu washeria nailikuwa kilasiku lazima usome order naimeandikwa imezuiliwa nimarufuku kutoa habari za jeshi nje!!Nimarufuku kwenda jikoni kabla ya mda wa chungulia pipa!Mpaka hapo tumekueleza kuhusu JKT
 
Kuhusu JKT nikwamba kulikuwa na wakujitolea na wamjibu washeria nailikuwa kilasiku lazima usome order naimeandikwa imezuiliwa nimarufuku kutoa habari za jeshi nje!!Nimarufuku kwenda jikoni kabla ya mda wa chungulia pipa!Mpaka hapo tumekueleza kuhusu JKT

duh....hebu nyambua maneno yako inawezekana uko sawa ila mm sijakuekewa......
 
Back
Top Bottom