I Isekuu Member Feb 12, 2011 29 0 Feb 27, 2011 #1 Jf mi ni mara ya kwanza kuingia hapa nimepapenda kutokana na mada au mijadala naombeni nijiunge masharti ni yapi.
Jf mi ni mara ya kwanza kuingia hapa nimepapenda kutokana na mada au mijadala naombeni nijiunge masharti ni yapi.
Mpevu JF-Expert Member Nov 23, 2010 1,805 173 Feb 27, 2011 #2 Karibu japo ulishaingia bila hodi hapo awali, karibu sana.
Babu Lao JF-Expert Member Nov 2, 2010 2,043 179 Feb 27, 2011 #3 https://www.jamiiforums.com/rules Karibu sana isenkuu uwe mmoja wetu....na hizi hapa juu ndio sheria zetu huku ndani!!!:A S 13:
https://www.jamiiforums.com/rules Karibu sana isenkuu uwe mmoja wetu....na hizi hapa juu ndio sheria zetu huku ndani!!!:A S 13:
Maria Roza JF-Expert Member Apr 1, 2009 6,797 1,567 Feb 27, 2011 #4 Karibu sanaaaaaaaaaaaaaaaa usisahau kuomba ruhusa jukwaa pendwa
Mpevu JF-Expert Member Nov 23, 2010 1,805 173 Feb 27, 2011 #5 Maria Roza said: Karibu sanaaaaaaaaaaaaaaaa usisahau kuomba ruhusa jukwaa pendwa Click to expand... MR, Umeniacha hooi, mwambie ni jukwaa lako aombe RUKSA
Maria Roza said: Karibu sanaaaaaaaaaaaaaaaa usisahau kuomba ruhusa jukwaa pendwa Click to expand... MR, Umeniacha hooi, mwambie ni jukwaa lako aombe RUKSA