wadau av tried to search kene net but cjazipata, nimepata 3 tu! i think shule za kata hazipatikaniki kwenye net coz nying ni mpya,hazina hata form4 walomaliza. naomba anayezifahamu anitupie jamvini...both za prvate au government ilimrad ni sekondari. nikipata shule na kata zilizopo itakua poa zaidi wadau..............
THANKS!