FRANK MICHAEL
Senior Member
- May 17, 2011
- 151
- 46
Ndugu wananchi wote mmeshuudia jeshi la police wakiua watu kama mambwa koko, hakuna matamko yanayotolewa na viongozi wetu kwa maana njingine wanaunga mkono mauaji hayo hivyo basi kitendo cha police kumkamata kiongozi wa kambi ya upizani bungeni ni ukweli kwamba kuna haja wa kudai ukombozi kwa mara ya pili kama anavyo sema mh sana Lema! baada kusema maneno hayo naomba kutoa hoja kwa wana jf wote tushirikiane kwa pamoja