Wana jf nahitaji mtu wakushirikiana nae kwenye biashara awe na mtaji wa millioni 20

Wana JF kwa mtu yoyote aliyetayari kufanya biashara na mkaribisha ajee tushirikiane kuna biashara naijuwa ambayo inalipa sana na ni halali kwa mujibu wa sheria TZ kama mtu yupo seriously karibu tushirikiane kwani umoja ni nguvu no one can stand alone

Mwizi wewe
 
Kaka hebu kuwa muwazi kidogo, tupe sababu ya kuchambua wazo lako. ilituone utekelezekaji wake.umetoa details chache mno, unanunua wapi malighafi, kiwand unaweka wapi,soko la bidhaa unazo zaliasha lina tabia gani, matokeo ya biashara katika hali mbaya ya soko na hali halisi ya sasa.
haya ndio tunategemea kuona kwenye post yako.Je unaweza kuirekebisha ukijibu hoja zilizotangulia ?
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Soko naomba liwe siri yangu, malighafi nitatowa matui, njoro engusero na wiza mtima, kipindi cha soko kuwa baya ni kipindi abacho ni ca msimu bei inakuwa ndogo ela kwa mwaka huu bei ni nzuri kwa kuwa kuna njaa kenya wewe kama uko tayari nitafute nikupe ideas najinsi ya kufanya kazi
 
Soko halina shida ukihitaji kulijuwa nitafute private malighafi inatoka matui, njoro, dosidosi, ngipa, kirashi. Ndogoye. Nishughuli ninayoifahamu nanimeifanyia utafiti wakutosha ninajuwa jinsi ya kupata malighafi strategy yangu ni penetration price kwa kuwa material yanatoka masikani lazima nishushe bei eli nipate soko na jina kwa urahisi
 
Simaanishi kumuunga mkono mtoa mada maana wengi hapa wanamshuku na busara za wengi huenda zina ukweli... lakini ukiachana na wasifu wa JF wa huyo mtoa mada, anachoongea kina ukweli. Kwa mfano, processing ya mahindi ni biashara nzuri kama unayakusanya wakati wa mavuno zaidi halafu unayakoboa, kusaga na kufungasha unga kwa lengo la kuuza jumla kwa wenye maduka au rejareja kwa walaji. Ameielezea kimkato bila shaka ni kwa lengo la kuotmwaga mchele wooote hapa jamvini.

Hata hiyo ya mkaa nayo ina akili... binafsi sijaipenda kwa sababu za kuharibu mazingira. Ila kuna binti mmoja anakaribia kuanza maeneo ya Mabibo na makadirio yake ni kutengeneza (net) si chini ya 2 mill/mwezi. Yeye ana sehemu ya kuuza jumla na rejareja na atatumia fuso la kukodi hadi afikie kununua la kwake.

Lengo langu kusema haya ni kwamba tusimpige jamaa mawe haraka ila pia tuangalie hizo idea maana huenda zikamsaidia mtu hapa. Sio lazima uambatane na mtoa mada, unaweza kuichunguza idea ukaifanyia kazi kivyako pia. Si ndio maana ya capitalism hiyo??

Tuko pamoja!
 
Simaanishi kumuunga mkono mtoa mada maana wengi hapa wanamshuku na busara za wengi huenda zina ukweli... lakini ukiachana na wasifu wa JF wa huyo mtoa mada, anachoongea kina ukweli. Kwa mfano, processing ya mahindi ni biashara nzuri kama unayakusanya wakati wa mavuno zaidi halafu unayakoboa, kusaga na kufungasha unga kwa lengo la kuuza jumla kwa wenye maduka au rejareja kwa walaji. Ameielezea kimkato bila shaka ni kwa lengo la kuotmwaga mchele wooote hapa jamvini.

Hata hiyo ya mkaa nayo ina akili... binafsi sijaipenda kwa sababu za kuharibu mazingira. Ila kuna binti mmoja anakaribia kuanza maeneo ya Mabibo na makadirio yake ni kutengeneza (net) si chini ya 2 mill/mwezi. Yeye ana sehemu ya kuuza jumla na rejareja na atatumia fuso la kukodi hadi afikie kununua la kwake.

Lengo langu kusema haya ni kwamba tusimpige jamaa mawe haraka ila pia tuangalie hizo idea maana huenda zikamsaidia mtu hapa. Sio lazima uambatane na mtoa mada, unaweza kuichunguza idea ukaifanyia kazi kivyako pia. Si ndio maana ya capitalism hiyo??

Tuko pamoja!

Usiwe wilshere umekuja na ID nyingine haaaaaaa aibiwi mtu hapa
 
Usiwe wilshere umekuja na ID nyingine haaaaaaa aibiwi mtu hapa
Naomba niwaönyeshe wana jf kuwa nipo tayari kumsadia mtu yoyote idea hizi nipo tayari kuwaonyesha watu wanaofanya hizi kazi kwa gharama zangu mwenyewe! Kama mtu anataka kufanya mwenyewe pia naweza kumpeleka kwenye masoko akafanya upembuzi yakinifu kabla. Jmosi ninaenda kufanya suvey nitawaletea jibu zuri
 
I beg to differ.jamaa kaja na kiwiliwili bila kichwa,the way iam on JF is the same nikiwa offline ,leta issue yenye mashiko uone,also keep in mind life is too short to frown.
Wewe jamaa response ya post zako nyingi huwa ni za ki magumashi magumashi sana...huwa unafanya utani sana kwenye ishu serious za watu
Kwa kifupi huwa ukitangulia ku respond kwenye post za watu huwa una haribu sana flow ya maoni!!!!!!
This z just my observation...kama nimekukwaza, samahani
 
Hivi wana jf mnajuwa kuwa kuna kazi ya kilimo inalipa eg kukodi ekari 1 sh elfu kumi kulima na trecta elfu ishirini na tano kupalia elfu kumi kuvuna elfu nane jumla nikama sitini elfu mavuno gunia 10 mahindi mbazi 2 mahindi 10*30000=mbazi 2 =150000=total income 450000/= mara ekari 50 au 100?????
 
Naomba niwaönyeshe wana jf kuwa nipo tayari kumsadia mtu yoyote idea hizi nipo tayari kuwaonyesha watu wanaofanya hizi kazi kwa gharama zangu mwenyewe! Kama mtu anataka kufanya mwenyewe pia naweza kumpeleka kwenye masoko akafanya upembuzi yakinifu kabla. Jmosi ninaenda kufanya suvey nitawaletea jibu zuri

mkuu ulikana kutokuonesha soko lako lakini naona sasa upo tayari kuwapeleka wana jf katika masoko yako, nashindwa kupata picha hapa

halafu kumbe ndiyo unakwenda kufanya survey jumamosi hii, sasa kwanini umeleta thread ukitamba kwamba unabiashara nzuri na yenye soko

duh , kazi kweli kweli
 
Jmosi naenda kuangalia soko la mafuta alizeti na chakula cha mifugo kwani nitakuwa na pumba na mashudu ya aliziti ambayo ni chakula cha mifugo Nina wapeleka maeneo ambayo watu wanafanya kazi hizo soko langu hamuwezi kulijuwa hata ukilijuwa hamuwezi kufanya competion kwa jinsi nilivyo wasoma !
 
Jmosi naenda kuangalia soko la mafuta alizeti na chakula cha mifugo kwani nitakuwa na pumba na mashudu ya aliziti ambayo ni chakula cha mifugo Nina wapeleka maeneo ambayo watu wanafanya kazi hizo soko langu hamuwezi kulijuwa hata ukilijuwa hamuwezi kufanya competion kwa jinsi nilivyo wasoma !

Kaaaazi kweli kweli!!
 
Biashara iko hivi,Utaelekezwa ukachukue Madawa ambayo ni Adimu na Mteja ni Mzungu yupo tayari kununu hayo madawa kwa faida ya 80% and above.
utaenda kununua hayo madawa.wakati unarudi kufanya supply kwa mteja hapo ndio mwisho wa biashara kwani mteja atakuwa Amesafiri kidogo kurudi ulaya.

People Be Careful na biashara za kimya kimya au unatakiwa utoe pesa upfront.

uko mkweli.
 
Back
Top Bottom