kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Sina kazi ya kuajiriwa kwa sasa, nimeamua kuacha kwa sababu ya kutovulia kufanya kazi na ndugu zetu wa Asia.
Nina Million 5 katika account yangu. Nime plan kufungua Grocery pamoja na kibanda kama cha nusu jiko hivi maeneo ya Tabata.
Je nitaweza kutoka kweli kwa biashara hii.
Vitu vinavyo nichanganya ni gharama za uanzishaji
1 Pango
2 freezer
3 ujenzi wa kibanda cha chips
4 Viti & Meza
5 Usajili wa jina la biashara, licence
NK
Naombeni ushauri, nitaweza wekeza katika biashara hii?
Nina Million 5 katika account yangu. Nime plan kufungua Grocery pamoja na kibanda kama cha nusu jiko hivi maeneo ya Tabata.
Je nitaweza kutoka kweli kwa biashara hii.
Vitu vinavyo nichanganya ni gharama za uanzishaji
1 Pango
2 freezer
3 ujenzi wa kibanda cha chips
4 Viti & Meza
5 Usajili wa jina la biashara, licence
NK
Naombeni ushauri, nitaweza wekeza katika biashara hii?