Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitawezaje kuflash simu yangu aina ya Samsung SGH - D780, maana nna CD yake ndani kuna folder Flash asset!
Pia nitatumia program gani kufungua files za type hii: X32
Kwenye hii ya kwanza ina respond lakini inachukua muda bila kufika mwisho, inachukua hata dakika 60 bila kuonyesha tofauti yeyote! Vip nitaweza kuwapaje?kuna kanuni initwa RFC (Read Fucken Manual) . Hii itakusaidi kujua kifaa au vifaa vyako vinafanyaje kazi na kurekebisha.
Kaa hauna Manual nenda kwenye official website ya samsung itakuwepo. Hapo kwenye website ukienda sehemu ya suppport search ukaandika formating phone xyz utapata solution.
nadhani hata ndani ya hiyo CD kutakuwa na manual ya hiyo simu. na kwenye manual wanaelza jisni ya ku reset phone to factory
Otherwise kuformat simu yako jaribu hizi code za samsung ambazo nimegoogle
*2767*2878# or *#7370# or *#7073# or *#69694948404*#
Ikishindana ilete zero brain hatushindwi kitu as long as internet inafanya kazi