Wana JF, mnajua maana ya neno 'lol'?

sikumbuk niliona wap lakin m2 aliandika LOLEST au LOLS
na je kuhusu TGF?
 
Fu=**** u(you)
Bs=bull shit
Rofl=rolling on floor laughing
Ttyl=talk to you later
Imho=in my honest opinion
 
thanks for sharing this knowledge with us. Mi nilikuwa sijui maana ya lol! Kule kwa binti wa kizungu Mange kila post katika blog yake lazima atupie neno 'lol'. Basi tusiojua tukabaki tunashangaa tu. Thanks mkuu
 
Nashukuru wapendwa kwan hata me mmenitoa tongotongo usoni, bt da question iz 'hapo kwenye 'lol' bado cjapata tafsiri stahiki maana mmoja kasema laugh out louder mwingine katoa maana zaid ya moja ikiwemo non-sense, so wot da ril meaning iz?
 
Kwanza samahani wana jamvi kwa kuweka huu uzi kwenye jukwaa la siasa badala ya lugha.Najua huku ndo wengi wetu tunapenda kutembelea mara kwa mara kwani siasa ndo zinaendesha nchi.


Nimekuwa nikiona mara kwa mara wachangiaji wengi wanapenda kutumia hiki kibwagizo cha 'lol' bila kujua maana yake halisi.Mwingine utaona kabisa anamaanisha 'looh!' lkn yeye ataandika lol! Sasa leo naomba niwaeleweshe baadhi yetu wanaotumia hili neno vibaya ili wasilitumie hovyo hovyo.LOL ni abbreviation ya 'laughing out loud'
Hivyo basi kuanzia leo sitemegemei kuona mtu anachemka tena kuhusu neno hili.

PIa kwa faida ya wengine naomba niwawekee na vibwagizo vingine ambavyo vitawasaidia kwenye comment zenu.Wengi wetu wanavijua ila kuna wachache nadhani hawavijui.

LMAO ("laughing my ass off")
ROTFL ("roll(ing) on the floor laughing")
BWL ("bursting with laughter",
Lots Of Love - What does LOL stand for? Acronyms and abbreviations by the Free Online Dictionary.
 
Kwanza samahani wana jamvi kwa kuweka huu uzi kwenye jukwaa la siasa badala ya lugha.Najua huku ndo wengi wetu tunapenda kutembelea mara kwa mara kwani siasa ndo zinaendesha nchi.<br />
<br />
<br />
Nimekuwa nikiona mara kwa mara wachangiaji wengi wanapenda kutumia hiki kibwagizo cha 'lol' bila kujua maana yake halisi.Mwingine utaona kabisa anamaanisha 'looh!' lkn yeye ataandika lol! Sasa leo naomba niwaeleweshe baadhi yetu wanaotumia hili neno vibaya ili wasilitumie hovyo hovyo.LOL ni abbreviation ya '<b>laughing out loud'<br />
</b>Hivyo basi kuanzia leo sitemegemei kuona mtu anachemka tena kuhusu neno hili.<br />
<br />
PIa kwa faida ya wengine naomba niwawekee na vibwagizo vingine ambavyo vitawasaidia kwenye comment zenu.Wengi wetu wanavijua ila kuna wachache nadhani hawavijui.<br />
<br />
LMAO (&quot;laughing my ass off&quot;)<br />
ROTFL (&quot;roll(ing) on the floor laughing&quot;)<br />
BWL (&quot;bursting with laughter&quot;,
<br />
<br />


Sasa ticha mbona zote zahusu kucheka tu? Asante lakini.
 
Inategemea mtumiaji amelitumia kwenye context gani. Kwa mfano mtu anaweza kukutumia text message akamaliazia na LOL. Wewe ukafikiri s/he is laughing out loud, kumbe s/he simply meant Lots of Love or Lots of Lucks.
 
When a contributor uses LOL, we know what they mean. And that’s really what counts. Words are not dead. Their meanings evolve with time, and usage. Here at JF, words mean what we want them to. Shocking, ha! Lol!
 
Good grammar does not mean you are educated, the foundation for good grammar is laid at lower classes like nursery and classes one to three,its not laid in university. It however annoying that those writting poor grammar like you dont want to accept that they have a problem and should attend lessons.
 
Kwanza samahani wana jamvi kwa kuweka huu uzi kwenye jukwaa la siasa badala ya lugha.Najua huku ndo wengi wetu tunapenda kutembelea mara kwa mara kwani siasa ndo zinaendesha nchi.


Nimekuwa nikiona mara kwa mara wachangiaji wengi wanapenda kutumia hiki kibwagizo cha 'lol' bila kujua maana yake halisi.Mwingine utaona kabisa anamaanisha 'looh!' lkn yeye ataandika lol! Sasa leo naomba niwaeleweshe baadhi yetu wanaotumia hili neno vibaya ili wasilitumie hovyo hovyo.LOL ni abbreviation ya 'laughing out loud'
Hivyo basi kuanzia leo sitemegemei kuona mtu anachemka tena kuhusu neno hili.

PIa kwa faida ya wengine naomba niwawekee na vibwagizo vingine ambavyo vitawasaidia kwenye comment zenu.Wengi wetu wanavijua ila kuna wachache nadhani hawavijui.

LMAO ("laughing my ass off")
ROTFL ("roll(ing) on the floor laughing")
BWL ("bursting with laughter",


asante kwa kuwasaidia watu.tatizo ni kutaka kusema loh...watu wanaweka lol bila kujua kuwa lol ina maana ingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom