Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
maelezo mengi, in short mbona hao wanawake mnao wao wanakuwa kama Chui na Kondoo, maadui wa kuuana, na ushahidi mwingi,
tena wana gombana hata kutaka kutoana roho, Ndoa nyingi na ushahidi upo, so unaona mke wa kwanza hamjakubaliana,
Of course hilo lipo!
Tatizo si kugombana umetaka kujua kuna umuhim kulijadili hilo wana ndoa?
Utalijadili ilhal muumin anaelewa umuhim wake!
Kiubin-adam atajiuliza maswali mengi...ndio maumbile yao.
Rejea historia ya baba yetu Mzee Ibrahim(a.s) au Abraham(Pbu) kwa wake zake ilivyokua.
I tell u ....in short tu.