Eng. Mtolera,
Hapa umesema kweli, kuna tip nono madakitari wetu wanapata ku recomend watu waende Apolo!
Nilipata Brachial Plexsus nikaenda Muhimbili hawatibu wakaniuliza kama nitaaford niende South au India. Nikachagua South, wakafanya initial oparation. Nikarudi ila kwa vile cost za South ni kubwa, nika opt kwenda India, Apollo!.
Hapo nilikuta ni biashara zaidi kuliko matibabu!. Unafanyiwa kila kipimo unanunuliwa kila kifaa na madawa kibao hata ambayo huyahitaji!.
Walifanya walichoweza in bussiness wise na kurejea nyumbani!. Baada ya muda kupita nafuu kidogo ndipo nikaseek second opinion toka kwa daktari bingwa toka Ujerumani ndipo akafanya vipimo upya na kuniambia India did nothing! kwa kwa assesment yake they can do nothing!. Lakini kila madaktari wa India wakija huniona na kunisisitizia "You just come to Apollo there is something we can still do!".
Hebu toa hizo data za hiyo Hospital pale Wizarani kama mijitu haijakutolea mimacho!. Wahindi ni wafanya biashara wazuri ila hii biashara ya matibabu kwa watu wa nchi masikini kama Tanzania huku madaktari bingwa wetu wakivuna chochote!, huu ni unyonyaji mbaya kuliko ukoloni!. No wonder kwa nini madaktari bingwa hawagomi!.
Eng. Mtolera,
Hapa umesema kweli, kuna tip nono madakitari wetu wanapata ku recomend watu waende Apolo!
Nilipata Brachial Plexsus nikaenda Muhimbili hawatibu wakaniuliza kama nitaaford niende South au India. Nikachagua South, wakafanya initial oparation. Nikarudi ila kwa vile cost za South ni kubwa, nika opt kwenda India, Apollo!.
Hapo nilikuta ni biashara zaidi kuliko matibabu!. Unafanyiwa kila kipimo unanunuliwa kila kifaa na madawa kibao hata ambayo huyahitaji!.
Walifanya walichoweza in bussiness wise na kurejea nyumbani!. Baada ya muda kupita nafuu kidogo ndipo nikaseek second opinion toka kwa daktari bingwa toka Ujerumani ndipo akafanya vipimo upya na kuniambia India did nothing! kwa kwa assesment yake they can do nothing!. Lakini kila madaktari wa India wakija huniona na kunisisitizia "You just come to Apollo there is something we can still do!".
Hebu toa hizo data za hiyo Hospital pale Wizarani kama mijitu haijakutolea mimacho!. Wahindi ni wafanya biashara wazuri ila hii biashara ya matibabu kwa watu wa nchi masikini kama Tanzania huku madaktari bingwa wetu wakivuna chochote!, huu ni unyonyaji mbaya kuliko ukoloni!. No wonder kwa nini madaktari bingwa hawagomi!.
Je wajua: Kwenda kutibiwa India inawezeka ni "biashara" ya watu fulani?
31/01/2012
Ni ujumbe kutoka kwa mdau wa afya, unajieleza! Tafadhali tuachane na kuuliza "nani mjumbe" tukazie "nini ujumbe"!
It is very possible that, private practice in India is driven by pay back system, you refer a patient to Apollo you get paid.
I just don't have evidence but I am sure move za hospitali kukusanya wagonjwa na kuwapeleka India zitakuwa driven by this payment system, I bet our officials may also be involved.
And these people are serious about that business, Apollo wanaanza kuwapa huduma wagonjwa Dubai, so from the airport you start getting services.
And the practice is made in such a way unafanyiwa vipimo vingi kadiri inavyowezekana, including those you don't need, the aim being to maximize the cost.
I am posted at Christian Medical College Hospital in India, this is a hospital which is not business oriented, but it is the best cardiology centre in India, it is one of the best nephrology centre in India also, iko Tamil Nadu km 120 kutoka Chennai.
The cost of services here is 1/3 ya gharama za Apollo and the like, the cost is even cheaper as compared to cost of some services in Nairobi (kuna mgonjwa alikuwa na leukemia Nairobi, gharama ya matibabu Nairobi ilitosha kulipia usafiri, matibabu gharama za kuishi hapa Vellore na akabaki na change), but guess what, no one is referring patient to CMC even in India itself because this hospital does not entertain the system of pay back!!!!!
It is very sad in deed!
Source: wavuti.com* - Blogu
Under Creative Commons License: Attribution Share Alike
Ni muda kidogo nimejaribu kujiuliza na kutafakari zaidi
juu ya mahusiano yetu kama taifa na Hospital ya Apolo iliyopo nchini
India.Nimejaribu kutafakar ubora wake,huduma zake,gharama zake na
mengine mengi hadi kutushawishi kama taifa kuwapeleka viongozi wetu
wakubwa kwa matibabu(Mwandosya na Mwakyusa).Siyo hao tu,hata yule
aliyemwagiwa tindikali igunga alipelekwa huko.Pia msanii wa original
comedy naye amepelekwa huko kwa ufadhili wa raisi wa jamhur ya
muungano.
Napenda kujua kulikoni Appolo? je kuna ajenda ya kisiasa katikati? na
kama ni ubora wa kuzidi nchi zote duniani,sisi kama taifa tunajifunza
nini?