CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
- Thread starter
- #21
Mawazo yako mazuri sana lakini jf wengi hawapendi kujulikana kazi zao. Ni wachache sana wanaojitangaza. Nashindwa kuelewa wengi wameajiriwa au wana biashara ila washaridhika na wateja wanaopata.
Ni sawa mkuu, but tunaweza songa mbele na wale walio tiyali hata kama ni 10, for starting na si razima hii kitu iwahusu walioko humu ndani tu, kama wandani hawako tiyali tutacheki na nje pia,