sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,539
- 9,462
Ila mkasi naomba niseme ukweli huwa naangalia sana tu si unajua wazee vijana ndio sisi
Mkuu kwenye mikasi anahoji mpaka rika letu.. So inabidi kuangalia 2..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mkasi naomba niseme ukweli huwa naangalia sana tu si unajua wazee vijana ndio sisi
unafikiri mchezo kupewa mud wote huo..........kama mle ana hucka bwana machache natangaza kujivua Gamba lkn kwa shingo upande moyo unaumaa kitu kinaonekana kizur na kitamu halafu kinakubali kua small house..aaaaaaah ndo mana kampa kipind cha masaa 2 kwenye t.v yake.
acha nipite huku nimefumba macho nisisikie mazungumzo yenu
we unamjua bwana machache wewe? una hela kama za kwake? au unaota mwenzetu?
yule alitolewa nchi za jirani na mh dkt bwana machache alipoenda huko baada ya kukosana na mke wake aliyetoka nje ya ndoa na daktari wa familia... baada ya kupata service nzur na kupunguza machungu akampromote mama yetu madamu..... kwa sasa bwana machache amesharudiana na mke wake saa sijui kama madamu ana mtu ila najua ana mtoto mwenye umri wa miaka kati ya 19-22
Hv ile Mimba ya Jackline Ntuyabaliwe ni ya Reginald Mengi au ya Machache?
Na yule mtoto wa Zamaradi Mketema ni wa Joseph Kusaga au Kukoboa?
Maana wote si ni walewale akina 'Ukosefu Wa Kilaji Mwilini?'
Inamana Kylin nae anameza vidng na Zamard nae ndo tayari?
Au nijipigie Mstari?
kama mle ana hucka bwana machache natangaza kujivua Gamba lkn kwa shingo upande moyo unaumaa kitu kinaonekana kizur na kitamu halafu kinakubali kua small house..aaaaaaah ndo mana kampa kipind cha masaa 2 kwenye t.v yake.
Hivi yule Salama J bangi mtu anagongwa na nani? au mbele kaweka dushelele la plastic?
Salama hana tofauti na kongosho hajulikani ni mwanamke au mwanamme
Hivi yule Salama J bangi mtu anagongwa na nani? au mbele kaweka dushelele la plastic?