Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ooya inakuwaje?cdhani kama kuna tatizo, ishu ni maelewano/makubaliano yenu kuhusu huyo mtoto kabla ya ndoa,.....jamii yetu nahic inaliangalia hili suala ki tofauti hasa mwanamke kuolewa akiwa na mtoto lakini kwa wanaume linachukuliwa kama jambo la kawaida tu....kama mnaenda sawa nakushauri songa mbele.
ooya inakuwaje?
sikupati hewani siku hizi,umebadilisha namba?
Baba wa huyo mtoto bado hajaachana na huyo binti, atakwambia kuwa wameachana lakini wakikutana we haupo wanakumbushia enzi hizo na matokeo yake wanaendelea kuongeza watoto kwenye kaya yako,
hachana naye tafuta mwingine
ooya inakuwaje?
sikupati hewani siku hizi,umebadilisha namba?
Baba wa huyo mtoto bado hajaachana na huyo binti, atakwambia kuwa wameachana lakini wakikutana we haupo wanakumbushia enzi hizo na matokeo yake wanaendelea kuongeza watoto kwenye kaya yako,
hachana naye tafuta mwingine
hiyo ni tatizo ambalo nalitegemea, lakini mkuu haiwezekani wazazi wawili uhusiano ukafa kabisa?mapenzi yasiwepo wakaangalia ulezi wa wanao tu?
Wakuu naomba nifahamisheni mazuri na mabaya ya kuoa mwanamke aliyezaa, kuna mwanamke naona tunaendana kila kitu sema yeye tayari ana uzao
Wakuu naomba nifahamisheni mazuri na mabaya ya kuoa mwanamke aliyezaa, kuna mwanamke naona tunaendana kila kitu sema yeye tayari ana uzao
Hilo huwa nahisi kama gumu hivi! hasa kwa upande wa mwanamke.....ila tu uwe tayari kukubali hali halisi pindi ikijionyesha!
Baba wa huyo mtoto bado hajaachana na huyo binti, atakwambia kuwa wameachana lakini wakikutana we haupo wanakumbushia enzi hizo na matokeo yake wanaendelea kuongeza watoto kwenye kaya yako,
hachana naye tafuta mwingine
there you are talking!.mr linawezekana kabisa, nina mifano hai ya ma frnd zangu wa karibu, tena hata salamu hawapeani na hao baba watoto zao, inategemea kisa na mkasa mpaka wakatengana......
mr linawezekana kabisa, nina mifano hai ya ma frnd zangu wa karibu, tena hata salamu hawapeani na hao baba watoto zao, inategemea kisa na mkasa mpaka wakatengana......
there you are talking!.
mi niko tayari kuoa mwanamke aliye na mtoto aliyetelekezwa na babake, lakini sipo tayari kama baba yake yupo na waliachana na huyo mwanamke kwa sababu za ajabu kama kutokua na uaminifu kwa mmoja wao, ugomvi etc, coz iko siku wakarudia mahusiano yao kwa siri.