NIMEKIMBIA CCM
Senior Member
- Oct 4, 2011
- 193
- 26
Naamini kabsa wote tunafaham mh rais jins asivyo aminika na watz, naye mwenyewe analifaham hilo, na wananchi hawampendi kabsa jinsi siku zinavokwenda (angalia tofauti ya matokeo ya 2005 na 2010),
SASA NDUGU ZANGU HIVI NYIE MNAONA AFANYE NINI ILI JAPO IMANI HATA KIDOGO JUU YA RAIS WETU TUIRUDISHE? MAANA INAWEZEKENA MH KACHANGANYIKIWA kwa kuwa aliahidi mengi alishindwa kuyatimiza, je pamoja na kushindwa kutimiza je atufanyie angalau yapi ili arudishe heshma na uaminifu japo hata 45%?
SASA NDUGU ZANGU HIVI NYIE MNAONA AFANYE NINI ILI JAPO IMANI HATA KIDOGO JUU YA RAIS WETU TUIRUDISHE? MAANA INAWEZEKENA MH KACHANGANYIKIWA kwa kuwa aliahidi mengi alishindwa kuyatimiza, je pamoja na kushindwa kutimiza je atufanyie angalau yapi ili arudishe heshma na uaminifu japo hata 45%?