Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii story nilishawahi kuisikia but sijui kama kuna ukweli wowote!?!hakuna mwenye evidence..
Hii story nilishawahi kuisikia but sijui kama kuna ukweli wowote!?!hakuna mwenye evidence..
Unatufundisha nini kwenye hadithi yako.
Copy&paste.
ni uwongo mtupu wajameni, hii story watu wanazusha tu tena ilianza kusikika hapa SAUT - MWANZA tangu mwanzoni mwa mwezi wa 4 kwamba huyo binti kachukuliwa na freemason, halafu kila kukicha watu wanaibuka na kueneza maneno mapya kabis.
Jina la binti wala kozi anayosoma haijulikani.
Nasema haya coz nipo eneo husika na ni mjuvi wa story za udaku.
weka pichajamani la mgambo,''binti wa sauti apotea katika mazingira ya kutatanisha,chanzo ni facebook.''kisa kilikuwa hivi binti alikuwa anachat na mkaka wa naijeria mpaka kufikia hatua ya kuwa wachumba,majuzi kati akamwomba sweet heart darlin aje tanzania kumvisit jamaa kakubali.wakafikia hoteli ya kifahari ,kuspend sana na shoping kwa wingi,jamaa akamtaka dada yetu waspend usiku pamoja,akakubaliwa,usiku umefika jamaa anavua nguo kaoza sehemu zote zilizofunikwa na nguo funza na mafunyefunye yanatoka binti kuzimia kuzinduka anakutana na mabilioni akajua umasikini kwaheri,kufika hosteli na kuwasimulia wenzake naye hapohapo akawa kama mpenziwe.apelekwe hospitali akapotea.haya jamani mafunzo hayo kazi ni kwetu wana jf kusuka au kunyoa tuwe makini na mitandao yetu.