hapo we unataka tusmeje???? wakati RAISI WAKO HUWA KALALA HATA KAMA YUPO MACHO??? WE HUONI WATU WANAVYO TAFUNA HII NCHI NA YEYE YUPO KATUMBUA MACHO TU? HIVI UNAFIKIRI KUNA SIKU ATAKUWA MACHO HUYU? NI BORA ALALE HIVYO HIVYO TUJUE KALALA NA KAFUMBA MACHO KULIKO LALA YAKE YA KUTUMBUA MACHO KUMBE KALALA, EMBU MWACHE ENDELEA NASHUGHULI ZAKO
rais ni mwanadamu km wengine, hula chakula, husinzia akichoka au hata kulala kabisa....weee umeinzia mara ngapi ofisini kwako? au kwa sababu hujapigwa picha?
Thubutu yako, RA hakamatiki na JK wala CCM!
Wananchi wenywewe ndio tumebaki kumshughulikia RA, utendaji wa JK wa sasa hivi ni sawa sawa na Diwani wa kata!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.