The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Makao Makuu TI
Posho Bado hatujazifuta tutawalipa tu nyie watu wa Arachuga!! Muje Mujini bana
Mwaka jana tulipoenda kuwatembelea JF wa Arachuga hili suala la posho lilikuwa bado halijaibuliwa mimi waje tu huku Dar tutawalipia posho zao mapema kabla sheria haijapitishwa, ila wazeiya Paka Jimmy, Preta, Lily Flower, Mzee wa Rula, Wiselady, Freetown na wengineo mkuje Dar Wing (Headquarters) bana bado tunaendelea kuwasubiriahahahaha na mtiti wa wanaapollo ni soo hauzimiki!!
Ila hommie waje bana! Mzee wa Rula Ujumbe ulifikisha?