Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,400
mimi nitakuja , lakini ungenidokeza huwa mnajadili nini ?
mkuu mbona muoga... hahaha! wanakutana tu..
mimi nitakuja , lakini ungenidokeza huwa mnajadili nini ?
soweto club iko wapi filipo,usikute ni kwenye bar?nafikiri nitakuwepo
Yes kuna Bar, restaurant but no rooms. iko upande wa kushoto kabla hujafika Mianzini
saa ngapi,na tutafahamiana vipi?ndio mara yangu ya kwanza,mwalikeni na lema
Hatupendi kufanya mambo kama vile ni chama cha siasa fulani kwani si wana JF wote wa Arusha ni CDM! Vile vile G. Lema yupo busy sana saizi, jana kuna sehemu aliahidi kwenda lakini alishindwa kutokana na kubanwa na majukumu mengine! Hivyo tukipata muda kama yeye Lema akithibitisha ni mwana JF na ID ikafahamika basi tutakuwa tunajumuika naye kwanza kama mwanaJF halafu kofia yake ya ubunge itakuwa ni ya pili, lakini sifa ya msingi ni kuwa MWANAJF.saa ngapi,na tutafahamiana vipi?ndio mara yangu ya kwanza,mwalikeni na lema
Ndiyo tunafahamina kwa sura, na kushirikiana hata nje ya majukwaa, kiukweli tumekuwa ni marafiki wa ukweli kabisa kwa ajili ya JF. Karibu sana.hivi ina maana wana jf mnajuana kwa sura!
Nitakukaribisha karibu sana mrembo,Nitakuwepo :typing:
Nitakukaribisha karibu sana mrembo,
Hakika hata mimi nitakuwepo ninahamu sana ya kuonana na Ma member wenzangu!
Ndallo, please prove Crashwise is wrong, I'm sure you know what to do.Ila wewe umekuwa msanii sana mkuu...
Imefanyaje tena mkuu, nipe angalizo hat kwa PM ukiona kama hapa utanivunjia PR yangu! Sahara bana sijui niite ka wivu au ji wivu tehe tehe teheMzee, angalia hiyo key board yako.
Tupo pamoja sana Filipo.Nawasisitiza tu kama kunamember unamfahamu umjulishe. Asante katibu na member wengine kwa kujibu baadi ya maswali. Tutakutana jioni!
Kwakua kikao mnakutana kama wana-Jf, kikao kina baraka zozote kutoka kwa uongozi wa juu wa Jf?
invisible, painkiller, innovator, x-pastor are on the corner,
nlisikia kama wanalalamika BAN ina uhaba mkubwa wa wanachama now
Kwakua kikao mnakutana kama wana-Jf, kikao kina baraka zozote kutoka kwa uongozi wa juu wa Jf?
invisible, painkiller, innovator, x-pastor are on the corner,
nlisikia kama wanalalamika BAN ina uhaba mkubwa wa wanachama now
Fafanua hoja yako kidogo yaani sijakuelewa unakusudia nini? Kukutana siyo hakuitaji kiblai cha JF kwa sababu yanajadiliwa natuhusu sisi wenyewe wana JF wa Arusha, ikifika kuna kipengele kinahitaji msaada wao basi tutawaconsult. Ondoa mashaka.Kwakua kikao mnakutana kama wana-Jf, kikao kina baraka zozote kutoka kwa uongozi wa juu wa Jf?
invisible, painkiller, innovator, x-pastor are on the corner,
nlisikia kama wanalalamika BAN ina uhaba mkubwa wa wanachama now