luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,848
- 1,938
Habarini wanajamvi wote lakini zaidi waishio Arusha,..
Leo ninaleta ombi langu la dhati kwenu,. lakini kabla sijawasilisha nieleze kwanza kwa kifupi kilichonisukuma humu leo..
Katika haya maisha inafika wakati inakulazima mwanaume/mwanaume kuishi na mwenzi wako na kuwaacha wazazi wako, hapo nami ndipo nilipofikia..katika kufikia uamuzi huo ni mengi mtu unaweza kupitia yanaweza kuwa mepesi au hata mazito kama ilivyo kwangu mimi.
Ni muda umepita tangu nlipopita humu na kuomba ushauri kwenu kuhusiana na swala zima la kuomba ndoa toka kwa jamii ya niliyetaka kumuoa, ushauri niliopewa niliubeba kama ulivyo na kuchanganya na ya kwangu,nashukuru Mwenyez Mungu na wana jf kwa ujumla kwani katika hilo nilifanikiwa. Sasa nimefikia hatua ya kufunga ndoa,taratibu zote nimezifata now its final.
But something so confusing came up... katika hatua niliyofikia nilihitaji mdhamini, nilimpata mfanyakazi mwenzangu, tukapanga itakavyokuwa kuanzia mavazi na mengine yote ya muhimu, katika hali isiyo ya kawaida,siku za ivi karibuni mkewe kabadilika na kusema hayuko tayari kudhamini ndoa yangu, sababu ni kuwa haoni kama anaendana na mke wangu mtarajiwa kimaumbile akiwa na maana urefu na upana wa mwili wake ni tofauti na wamke wangu mtarajiwa ilihali tulisha lijadili hilo na kuamua lisiwe kikwazo.
imefika mahali sasa naomba msaada kwenu tena katika hili, kimawazo au hata nikimpata wa kunidhamini kutoka humu itakuwa ni jambo jema kwani muda unaelekea kuniishia sasa..najiona kama nimepatikana katika hili.
Leo ninaleta ombi langu la dhati kwenu,. lakini kabla sijawasilisha nieleze kwanza kwa kifupi kilichonisukuma humu leo..
Katika haya maisha inafika wakati inakulazima mwanaume/mwanaume kuishi na mwenzi wako na kuwaacha wazazi wako, hapo nami ndipo nilipofikia..katika kufikia uamuzi huo ni mengi mtu unaweza kupitia yanaweza kuwa mepesi au hata mazito kama ilivyo kwangu mimi.
Ni muda umepita tangu nlipopita humu na kuomba ushauri kwenu kuhusiana na swala zima la kuomba ndoa toka kwa jamii ya niliyetaka kumuoa, ushauri niliopewa niliubeba kama ulivyo na kuchanganya na ya kwangu,nashukuru Mwenyez Mungu na wana jf kwa ujumla kwani katika hilo nilifanikiwa. Sasa nimefikia hatua ya kufunga ndoa,taratibu zote nimezifata now its final.
But something so confusing came up... katika hatua niliyofikia nilihitaji mdhamini, nilimpata mfanyakazi mwenzangu, tukapanga itakavyokuwa kuanzia mavazi na mengine yote ya muhimu, katika hali isiyo ya kawaida,siku za ivi karibuni mkewe kabadilika na kusema hayuko tayari kudhamini ndoa yangu, sababu ni kuwa haoni kama anaendana na mke wangu mtarajiwa kimaumbile akiwa na maana urefu na upana wa mwili wake ni tofauti na wamke wangu mtarajiwa ilihali tulisha lijadili hilo na kuamua lisiwe kikwazo.
imefika mahali sasa naomba msaada kwenu tena katika hili, kimawazo au hata nikimpata wa kunidhamini kutoka humu itakuwa ni jambo jema kwani muda unaelekea kuniishia sasa..najiona kama nimepatikana katika hili.